Hata lipumba ni dakatari (wa falsafa), kuna maendeleo yoyote unayasubiri kwa mtu kama lipumba na udaktari wake? Tafakari.Kamtoa DR. kaweka KADA, nchi hii kuwa na maendeleo tusubiri sana tu.
Hata lipumba ni dakatari (wa falsafa), kuna maendeleo yoyote unayasubiri kwa mtu kama lipumba na udaktari wake? Tafakari.Kamtoa DR. kaweka KADA, nchi hii kuwa na maendeleo tusubiri sana tu.
Anachofanya Lipumba ndio falsafa yenyewe humuelewi wapi?Hata lipumba ni dakatari (wa falsafa), kuna maendeleo yoyote unayasubiri kwa mtu kama lipumba na udaktari wake? Tafakari.
Hii ccm hii itatu cost SanaKamtoa DR. kaweka KADA, nchi hii kuwa na maendeleo tusubiri sana tu.
Kamtoa DR. kaweka KADA, nchi hii kuwa na maendeleo tusubiri sana tu.
Nenda kasome Muundo wa Serikali za mitaa utaelewa nasema nini msitumie katiba kama kichaka cha kufichia maovu yenu
Heri nusu shari kuliko shari kamili..Madokta wenyewe sasa hvi nao ni makada tu na wachumia tumbo.matendo yao na elimu zao hayafanani.
Huyu atakua kakosana na wenzie kwani ni mbishi na anaamini yeye ni sahihi muda wote nimewahi kufanya nae kazi pahala. Lazima itakua mahusiano.
Mkuu,nina mdogo wangu yupo katika Halmashauri kwa miaka 16,amepitia halmashauri 3 na kuwa mkuu wa idara halmashauri 2,lakini kwa sasa ile ari na morali ya utendaji imekufa kabisa,anafanya "bora liende" baada ya kuletewa DED ambaye ni mdogo na "kiazi" katika kila kitu,yeye sasa ndio anaanza kumpa tuition ya majukumu yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi ni chadema bt umesahau kuwa waziri wa TAMISEMI ni rais kutokana na sasa hivi TAMISEMI kuwa chini ya ofisi ya rais na ndio maana kina JAFO na WAITARA wale wote ni manaibu waziri hivyo basi WAZIRI WA TAMISEMI ni RAIS mwenyeweKwa elimu ndogo tu ya uraia niliyo nayo uteuzi wa wakurugenzi wa HALMASHAURI ZA Wilaya hufanywa na Waziri wa TAMISEMI Japo yaweza kua ni wateule wa Rais na ule wa wakurugenzi wa Majiji hufanywa na Rais mwenyewe moja kwa moja
Inanishangaza sana awamu hii 5 kichwa kimoja kufanya yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Majaji je?Madokta wenyewe sasa hvi nao ni makada tu na wachumia tumbo.matendo yao na elimu zao hayafanani.
Yaani hata mi nashangaa yaani nafasi za wakurugenzi ma das zimekuwa political appointment au, manake sielewi kabisa .Kwa elimu ndogo tu ya uraia niliyo nayo uteuzi wa wakurugenzi wa HALMASHAURI ZA Wilaya hufanywa na Waziri wa TAMISEMI Japo yaweza kua ni wateule wa Rais na ule wa wakurugenzi wa Majiji hufanywa na Rais mwenyewe moja kwa moja
Inanishangaza sana awamu hii 5 kichwa kimoja kufanya yote
Sent using Jamii Forums mobile app