Upo sahihi kabisaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wa Jestina Mhagama anarudisha kwa wakaribu wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wa Jestina Mhagama anarudisha kwa wakaribu wake.
Kama umeishi kule majina kama mhagama n mengi chief yawezekana akawa ndugu ama s ndugu yakeNdugu wa Jestina Mhagama anarudisha kwa wakaribu wake.
yes, kada, hyu aliyetenguliwa ana shirkiana na wapinzaniKama sikosei huyo bwana jimson mhagama aliwah kuwa kuwa katibu was ccm singida kifupi ni kada mtiifu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhu hako ni kaguno.Kama umeishi kule majina kama mhagama n mengi chief yawezekana akawa ndugu ama s ndugu yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sikosei huyo bwana jimson mhagama aliwah kuwa kuwa katibu was ccm singida kifupi ni kada mtiifu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanichekesha nipo na mkuu wangu wa idara hapa nimemuonesha post yako anatumbua macho tu inaonekana kuna ukwel fulan ambao hawa wakuu wanaujua ila ndio hvyo hawana pakusemeaHuyu mzee wetu bwana, nafasi hizo sio za makada
U'DED' ni posts za wakuu wa idara za halmashauri walioperform
Unanichekesha nipo na mkuu wangu wa idara hapa nimemuonesha post yako anatumbua macho tu inaonekana kuna ukwel fulan ambao hawa wakuu wanaujua ila ndio hvyo hawana pakusemea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni waziri Huyo au hujui!Kwa elimu ndogo tu ya uraia niliyo nayo uteuzi wa wakurugenzi wa HALMASHAURI ZA Wilaya hufanywa na Waziri wa TAMISEMI Japo yaweza kua ni wateule wa Rais na ule wa wakurugenzi wa Majiji hufanywa na Rais mwenyewe moja kwa moja
Inanishangaza sana awamu hii 5 kichwa kimoja kufanya yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana AGREY MWANRI anamuita magufuli MUNGU maana anajua ukimsifia tu basi hana shidaPole pia kwa aliye teuliwa
Ibara gan ya katiba inasema hivo mkuuKwa elimu ndogo tu ya uraia niliyo nayo uteuzi wa wakurugenzi wa HALMASHAURI ZA Wilaya hufanywa na Waziri wa TAMISEMI Japo yaweza kua ni wateule wa Rais na ule wa wakurugenzi wa Majiji hufanywa na Rais mwenyewe moja kwa moja
Inanishangaza sana awamu hii 5 kichwa kimoja kufanya yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,nina mdogo wangu yupo katika Halmashauri kwa miaka 16,amepitia halmashauri 3 na kuwa mkuu wa idara halmashauri 2,lakini kwa sasa ile ari na morali ya utendaji imekufa kabisa,anafanya "bora liende" baada ya kuletewa DED ambaye ni mdogo na "kiazi" katika kila kitu,yeye sasa ndio anaanza kumpa tuition ya majukumu yake.Kweli yaani
Nafasi za wanasiasa ni ukuu wa wilaya, ukuu wa mikoa huko na ubalozi na sio U'DED'
Mara kumi ukampa U'DED' hata headmaster ila sio kada
Wakuu wa idara wanatakiwa wawe na room ya promotions, unaweka makada then heads wa dept za halmashauri wapandie wapi?
Huyu ni Dr wa mifugo sio PhD.
Huyu atakua kakosana na wenzie kwani ni mbishi na anaamini yeye ni sahihi muda wote nimewahi kufanya nae kazi pahala. Lazima itakua mahusiano.Yeye naye kashindwa ku deliver sijui anatumbuliwaje?! Ningetamani kusikia kajiuzuru apishe wanaoweza
Sent using Jamii Forums mobile app