Upo sawa kweli!!Mzee wa majipu safari yake ya kwanza nje ya nchi amtembelee odinga
Hayo ni mawazo yako siyo ya magufuli wala odinga.Kivyovyote Maghufuli anataka ahahakishe Odinga anakuwa rais wa Kenya urafiki wa Maghu Na huyo engineer yalianza zamani Sana.
Kama wa Kikwete na LowasaUrafiki wa damu huu na vitendo pia
Shabiki vibama weweshabiki mandazi
Hamna haja ya kujulishana zaidi,nikawaida marafiki kutembeleana...fanya kazi sasaRaila Odinga asafiri kijijini Chato kwa Rais Magufuli . Waziri Mkuu huyo wa zamani wa Kenya ameenda kama rafiki yake wa muda mrefu nia ni kutembeleana kama marafiki.
Tutajulishana zaidi.
hii lugha ni ya MbyShabiki vibama wewe
shabiki mandazi