Rais Magufuli atembelewa na Odinga nyumbani kwake Chato

Rais Magufuli atembelewa na Odinga nyumbani kwake Chato

watazungumzia bomba la mafuta? Masikini Odinga hajui amuunge mkono Magufuli au Kenyatta katika hili!
 
Hahaha odinga kutawala Kenya ni kama vile kuona bao la kuku
Uchaguzi ujao ni zamu ya either Wetangula au Musyoka Odinga ni kama Maalim Seif wa Tz/Znz lakini hamna atakaye nyakuwa urais wa Kenya ila ni Kenyatta tu na Ruto Samuel kama Deputy President. Lakini 2022 Rais ni Ruto Samuel na deputy ni Professor wa sheria Kindithi
 
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
Amekuja na yuke binti yake na mke wake..
 
Ni jambo zuri Sana! Hata hivyo, Rais wetu Dr.Magufuli na Odinga ni marafiki wa muda mrefu, wakati odinga yuko kwenye kampeini za urais Magufuli alikwenda kumtembelea pia huko Kenya.
Urafiki wao ulianza wakati Dr. Magufuli ni Waziri wa Ujenzi na Odinga ni waziri wa barabara kwenye utawala wa Mzee Kibaki awamu ya kwanza kabla hawajafarakana ndani ya NARC
 
Uchaguzi ujao ni zamu ya either Wetangula au Musyoka Odinga ni kama Maalim Seif wa Tz/Znz lakini hamna atakaye nyakuwa urais wa Kenya ila ni Kenyatta tu na Ruto Samuel kama Deputy President. Lakini 2022 Rais ni Ruto Samuel na deputy ni Professor wa sheria Kindithi
100% chief sijawahi kumuona odinga kama presidential material sijui Kwanini lkn naona kuanzia historia ya mzee wake mpk yy naona kabisa dalili za kuja kuwa rais wa Kenya ni ndoto za alinacha.
 
Urafiki wao ulianza wakati Dr. Magufuli ni Waziri wa Ujenzi na Odinga ni waziri wa barabara kwenye utawala wa Mzee Kibaki awamu ya kwanza kabla hawajafarakana ndani ya NARC

Asante sana kimbunga kwa kuweka kumbukumbu vizuri, kwa faida ya wana ukumbi.
 
100% chief sijawahi kumuona odinga kama presidential material sijui Kwanini lkn naona kuanzia historia ya mzee wake mpk yy naona kabisa dalili za kuja kuwa rais wa Kenya ni ndoto za alinacha.
hata jpm alionekana siyo presidential material lakini akawa... the same applies to watu kama putin, kenyatta, kabila, n.k.
 
hata jpm alionekana siyo presidential material lakini akawa... the same applies to watu kama putin, kenyatta, kabila, n.k.
Subiri uone kama siasa Za Kenya zina mambo ya majina ya mfukoni au mambo ya wazee wa kitengo. Odinga kua raisi wa Kenya ni never ever, mpk marekan walimkingia kifua last election lkn akachinjiwa baharini kama kawa
 
1459623541338.jpg

Magufuli alipo hudhuria mazishi ya (Fidel) mtoto wa Raila Odinga
 
hata jpm alionekana siyo presidential material lakini akawa... the same applies to watu kama putin, kenyatta, kabila, n.k.
Afu Kabila unamuwekaje Kundi moja na mwanaume Putin, acha mambo yako bana. Kabila muweke level za wenye akili ndogo kama mugabe basi.
 
Afu Kabila unamuwekaje Kundi moja na mwanaume Putin, acha mambo yako bana. Kabila muweke level za wenye akili ndogo kama mugabe basi.
I meant putin wa enzi zile za yeltzin ... alipomtambulisha

 
Urafiki wa damu huu na vitendo pia
Ndio. Kule Nyegezi alifadhili, kujenga na kufungua Barabara inayobeba Jina lake, sijui Chato nako kutajengwa barabara itakayoitwa Raila Odinga Rodi?!
 
Hivi hii ikulu ndogo ya Chato ilijengwa muda mrefu au ni ndani ya hii miezi 5?!
 
Ndio. Kule Nyegezi alifadhili, kujenga na kufungua Barabara inayobeba Jina lake, sijui Chato nako kutajengwa barabara itakayoitwa Raila Odinga Rodi?!
Hahaha asee kumbe humu tunajadili mambo na watu wenye upeo mdogo saana, hahah. Acha uongo wa vijiweni ww Ile barabara ya kule nyegezi kona hakutoa hata sh. 10 yake Kwny kuijenga alipewa heshima ya kuifungua yy, kila barabara yenye Jina la mtu nchi hii ingekua lazima mwenye Jina awe amechangia ingekua ni shiiiiiida.Hapo mwanza kuna kenyata road ye kenyata alichangia sh. Ngapi? Mandela road, Barack Obama road,etc
 
Back
Top Bottom