magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,201
- 3,322
Wanabodi
Salaam;
Kasi aliyoanza nayo Rais wa awamu ya 5, kama ataendelea nayo na kuyafanya kwa vitendo yale anayoyaahidi kwa hakika ataitwa tuzo ambayo imekosa mshindi kwa sasa.
Viongozi wengi wa Africa wameshindwa kudhibiti ufisadi, rushwa na utawala bora. Kama atatenda sawa na kauli zake, naamini atakuwa mshindi ajaye wa tuzo hiyo ya mamilioni ya dollar.
Natamani sana afanikiwe ingawa hakupata kura yangu lkn hii nchi ni yetu sote. Kama atasimamia yale ambayo tumekuwa tukiyapigania hatuna sababu ya kumpinga.
Haya ni maoni yangu binafsi na matarajio yangu kwake.
Nawasilisha.
Salaam;
Kasi aliyoanza nayo Rais wa awamu ya 5, kama ataendelea nayo na kuyafanya kwa vitendo yale anayoyaahidi kwa hakika ataitwa tuzo ambayo imekosa mshindi kwa sasa.
Viongozi wengi wa Africa wameshindwa kudhibiti ufisadi, rushwa na utawala bora. Kama atatenda sawa na kauli zake, naamini atakuwa mshindi ajaye wa tuzo hiyo ya mamilioni ya dollar.
Natamani sana afanikiwe ingawa hakupata kura yangu lkn hii nchi ni yetu sote. Kama atasimamia yale ambayo tumekuwa tukiyapigania hatuna sababu ya kumpinga.
Haya ni maoni yangu binafsi na matarajio yangu kwake.
Nawasilisha.