Rais Magufuli anatuongoza kwenye njia sahihi kama waafrika. Anatuongoza kwenye njia ya kujitambua na kujiamini, tuna namna yetu ya kujiongoza kabla ya watu weupe hata kabla ya ma missionary pamoja na waarabu wa kwanza. Watu weupe wameleta utaratibu wao wa maisha kiasi kwamba desturi zetu za mwanzo zimegeuka ushirikina, dhambi na ushamba!
Hatuna Uhuru, sasa tunapogombea Uhuru wetu wa kweli bila kuingiliwa tunakwazwa na ukoloni wa kiuchumi. Sikuhizi hatupigani mabomu. Sayansi na technologia ndio silaha kubwa kwenye Karne hii. (Ubaya vita vya mataifa makubwa havitutengi sisi, lazima tuathirike).
Ni juu yetu kuamua kucheza ngoma moja na kuendelea kuwa watumwa wajinga au kucheza ngoma iliopo kwa namna yetu na kuwa watumwa wanaojielewa walio tayari kwa UHURU WA KWELI. Roma haijaiemgwa kwa siku moja,Wala hajajengwa kwa jasho tuu,Machozi na Damu pia yalihusika,muhimu kujua tupo kwenye vita. (MUHIMU KUJUA TUPO KWENYE VITA).Na namwamini Meko anapotupeleka nipo tayari kumfata kiongozi wangu mwenye maono ya Kiafrica.
Leo hii Raisi asipoenda magharibi ni mgonjwa wa moyo (mmesahau maneno yenu miaka 7 iliyopita?).
Leo hii Raisi asipoongea kiingereza fasihi anasemwa(huu ndio Uhuru?).
Leo hii Raisi akiwa na doupt na chanjo zinazotoka nje tunatukana kana kwamba aliewakata mikono mababu zetu kwenye mashamba ya mkonge sio hao wazungu.(huu ndio uzalendo?).
To cut it clear hakuna chanjo itakayopokelewa wala hakuna lockdown. HIVYO NDIVYO MNAVYOONGOZWA,FULLSTOP.
Hatuna Uhuru, sasa tunapogombea Uhuru wetu wa kweli bila kuingiliwa tunakwazwa na ukoloni wa kiuchumi. Sikuhizi hatupigani mabomu. Sayansi na technologia ndio silaha kubwa kwenye Karne hii. (Ubaya vita vya mataifa makubwa havitutengi sisi, lazima tuathirike).
Ni juu yetu kuamua kucheza ngoma moja na kuendelea kuwa watumwa wajinga au kucheza ngoma iliopo kwa namna yetu na kuwa watumwa wanaojielewa walio tayari kwa UHURU WA KWELI. Roma haijaiemgwa kwa siku moja,Wala hajajengwa kwa jasho tuu,Machozi na Damu pia yalihusika,muhimu kujua tupo kwenye vita. (MUHIMU KUJUA TUPO KWENYE VITA).Na namwamini Meko anapotupeleka nipo tayari kumfata kiongozi wangu mwenye maono ya Kiafrica.
Leo hii Raisi asipoenda magharibi ni mgonjwa wa moyo (mmesahau maneno yenu miaka 7 iliyopita?).
Leo hii Raisi asipoongea kiingereza fasihi anasemwa(huu ndio Uhuru?).
Leo hii Raisi akiwa na doupt na chanjo zinazotoka nje tunatukana kana kwamba aliewakata mikono mababu zetu kwenye mashamba ya mkonge sio hao wazungu.(huu ndio uzalendo?).
To cut it clear hakuna chanjo itakayopokelewa wala hakuna lockdown. HIVYO NDIVYO MNAVYOONGOZWA,FULLSTOP.