RASCO BOY
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 428
- 485
Unakuta mama lishe ana mtaji mdogo au machinga anauza pipi lakini kila siku wanafuatwa kulipa kodi nimesema wapewe vitambulisho lakini mnachelewesha sana, Naomba wafanyabiashara wadogo wasisumbuliwe'
Maneno ya Rais Magufuli.
Toa maoni yako.
Maoni yangu
Anataka walipie vitambulisho mwisho wa siku anarudi pale pale kua walipie Tsh 20,000 sasa boksi la pipi Tsh 5,000 alafu unalipia kitambulisho Tsh 20,000
Haaaa 2020 tunaenda na membe...
Maneno ya Rais Magufuli.
Toa maoni yako.
Maoni yangu
Anataka walipie vitambulisho mwisho wa siku anarudi pale pale kua walipie Tsh 20,000 sasa boksi la pipi Tsh 5,000 alafu unalipia kitambulisho Tsh 20,000
Haaaa 2020 tunaenda na membe...