sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,130
Acha roho mbaya! Sio wote tuna akili ndo maana shule tumeigizia sana na chuoni tumetumia sana nondo kufaulu.
Toa majibu haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa majibu haraka
Mjinga hatakiwi kuambiwa kila kitu, search ujue, sio kila kitu utafuniwe tu, tafuta jibu. Dunia hii ina kila kitu, tafuta upate.
Sent using Jamii Forums mobile app