Rais Magufuli amteua Innocent Bashungwa kuwa Waziri wa Viwanda, Edwin Mhede kuwa Kamishna Mkuu TRA

Poleni sana,unapoteuliwa nafasi za kisiasa ukishindwa kumridhisha aliyekuteua ndio yanatokea mambbo kama hayo
 
George kaishia kula pilau la ikulu jana!

Huuu George wafanya biashara wengi wamekiri kutokumjua, binafsi pia sikuwa namskia skia.

Huenda kukaaa tu ofsini bila kuwa na ubunifu ktk utendaji kazi wake,kumepunguza imani kwa rais wetu.

Pole sana George.

Ulijisahau mno, mh anapenda Kick.


Alilipuliwa na Msukuma hadharani siku ya mkutano
 
Wafanya biashara waongo hakuna aliyeokoka kiasi cha kupeleka kodi kamilifu, hata makanisani imesisitizwa lakini watu hawatoi mafungu ya kumi (tith) kamili, wafanyabiashara wanamwingiza chaka JPM adhani watu wake wa TRA nidio wabaya, atafukuza wote na bado wataendelea kukwepa kodi. "simbuko haisimbuki ila kwa msukosuko'
 
Habari zenu wakuu napita kuwasilimia nipo mtaani nakunywa kahawa.
Mkuu siku nyingi sana; jina lako inanikumbisha sana hotels zangu pendwa kule Madrid Hispania. Msalimie sana mkuu Zomba
 
Rais John Magufuli amemteua Innocent Bashungwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara akichukua nafasi ya Joseph Kakunda ambaye uteuzi wake umetenguliwa

> Edwin Mhede ateuliwa kuwa Kamishna Mkuu TRA; aliyekuwa Kamishna wa TRA, Charles Kichere uteuzi wake umetenguliwa na ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe

View attachment 1121315
hmna cha pole ela nying anzo
 
Naomba kuuliza hivi ukiteuliwa kuwa waziri na baada ya mda ukatenguliwa je,unalipwa stahiki zako kama mstaafu au ndo hupati chochote?

#Na kama unalipwa asee tuendelee kukata mkaa tu maana si kwa gharama hizi za kipumbavu
 
Rais John Magufuli amemteua Innocent Bashungwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara akichukua nafasi ya Joseph Kakunda ambaye uteuzi wake umetenguliwa

> Edwin Mhede ateuliwa kuwa Kamishna Mkuu TRA; aliyekuwa Kamishna wa TRA, Charles Kichere uteuzi wake umetenguliwa na ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe

View attachment 1121315
Jamani Mh. Magufuli niteue namimi niwe mkuu wa wilaya ya Arusha
 
hapo
George kaishia kula pilau la ikulu jana!

Huuu George wafanya biashara wengi wamekiri kutokumjua, binafsi pia sikuwa namskia skia.

Huenda kukaaa tu ofsini bila kuwa na ubunifu ktk utendaji kazi wake,kumepunguza imani kwa rais wetu.

Pole sana George.

Ulijisahau mno, mh anapenda Kick.
mwshni nimepapenda,kwamb anapenda kick
 
Nilikuwa na ban skuweza sema kwa wataki ila miongoni mwa uteuzi atakao ujutia ni huo mwambieni haache visasi ampe bashe wizara
 
Back
Top Bottom