chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,690
- 22,704
Rais Magufuli leo July 12 amemteua Dkt.Maduhu Isaac Kazi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) akichukua nafasi ya Godffrey Mwambe, kabla ya uteuzi Maduhu alikuwa Meneja wa Idara ya Sera za Kibajeti na Madeni Benki Kuu ya Tanzania (BOT)