Ukiwa mpumbavu shida sana sijui tukusaidiaje.Tehe..
Hakuna jipya bado, hata raisi ya awamu ya nne alifanya haya.
Watu wanajua kupamba. KUMBE MAGUFULI KAVUNJA BODI YA HOSPITAL KWASABABU BODI IMEMALIZA MUDA WAKE..HAHAAA
Tatizo letu Watz ni kufurahia mwingine kuguswa na misukosuko. Kamwachisha kazi, yeye ndiye kamwajiri?? Mkurugenzi huyo ana haki zake chungu nzima, unamwachisha tu ka Hg!!! Haya tungojee. Alisimamisha Makandarasi wangapi wa barabara bila mjadala. Wakamshinda mahakamani ka mtoto. Akalipa mihela ya kufa mtu. Hasara kwa taifa. Aliizuia meli ya Mvietnam, na samaki zake akagawa bure watu wale. Ati nitawashinda mahakamani. Amelipa meli mpya na samaki wapya kwa Dollar mpya za kimarekani. Hasara kuu kwa taifa.
Haya yoote, mlimsifia. Sitamsema vibaya rais wangu ila, Uongozi bora si hivyo. Yeye ni kiongozi, awaongoze wanaoongoza wafanye kazi ya viwango si kutimuana bila mpangilio. Ila kwa vile huwa hatuambiwi, mngekuja kutujuvya atakacho lipwa huyu mhusika baada ya kumbwaga mahakamani.
Mkuu hawa jamaa wamemwachia Magufuli shughuli pevu ila imepata mwenyewe...how about UCHAFU?
..hivi mmeona jinsi hospitali ya taifa ilivyo CHAFU?
..mbona kule Aga Khan alipotembelea kulikuwa kusafi?
..Raisi alipaswa kuwafuta kazi wahusika walisababisha hali ya uchafu Muhimbili.
utawala wa sheria upewe nafasi yake, tofautisha kati ya kuswaga ngombo kwenda joshoni na kuongoza watu kwenda hali bora zaidi ya maisha
Bodi ilishamaliza muda wake unaaenda kuovunja ili iweje?
Sifa za kijinga, ni sawa na mwaka jana kina zito wakakomaa bodi ya tanesco ivunjwe wakati ilikua imemaliza muda wake. Ni aibu kwa hili taifa.
Huyo ndio Raisi, Lowassa angeyawezea wapi haya?
..kuna tatizo la UCHAFU.
..kwa kweli hapastahili kuitwa hospitali.
..aliyetelekeza hospitali mpaka ikawa chafu namna ile ilipaswa naye afukuzwe kazi.
..Raisi angefanya utaratibu wagonjwa wote waliolazwa chini wahamishiwe hospitali binafsi kwa gharama za serikali.
cc Nyani Ngabu, MsemajiUkweli
Wewe dada naona unatafuta pini ohooUnachanganya mambo wewe! Uamuzi wa Raisi wa JMTZ haupingwi wala kuhojiwa na yoyote yule ndani ya JMTZ, Magufuli siyo Waziri wa uvuvi bali ni Raisi wa JMTZ na yuko juu ya sheria zote nchini!
Amempa fursa ya kujieleza? Ikitokea kuwa serikali ndio haikupeleka fungu, atamrudisha kazini? Utawala bora hauko hivyo.
Acha uongo,nani kafukuzwa?