Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

Keshafukuzwa tayari

..hajamtimua, kumhamishia wizara ya afya ambapo atapangiwa kazi nyingine.

..Raisi alitakiwa ateremke ngazi moja au mbili chini ya huyo Kaimu Mkurugenzi Mkuu na kuwafuta kazi wazembe wengine.

..hata huko wizara ya afya wapo wanaopaswa kufukuzwa kazi kwa kusababisha aibu hii ktk hospitali ya taifa muhimbili.
 
Hospitali zetu nyingi no majanga makubwa kuanzia zile za mikoa hadi za chini kabisa. Mfano hospitali za Sekou Toure mkoani Mwanza na Mkoa wa Mara ni shida tu. Namshauri Rais aunde kikosi kisicho cha wazi kitakachokuwa kinafuatilia hali ilivyo kwenye hospitali zetu na sehemu zingine zinazotoa huduma
 
..hajamtimua, kumhamishia wizara ya afya ambapo atapangiwa kazi nyingine.

..Raisi alitakiwa ateremke ngazi moja au mbili chini ya huyo Kaimu Mkurugenzi Mkuu na kuwafuta kazi wazembe wengine.

..hata huko wizara ya afya wapo wanaopaswa kufukuzwa kazi kwa kusababisha aibu hii ktk hospitali ya taifa muhimbili.

Siku hizi Kuna sheria ukifuta mtu kazi ataandaa document za kisheria umlipe mamilioni atalipa wangapi maana wote tuko hivyo mnaajiliwa wengi kazini ili kila mtu afanye kidogo hakuna kujituma Ni maslah Tu ndio yanawapeleka watu kazini lkn kazi hawapendi
 
Watu wanajua kupamba. KUMBE MAGUFULI KAVUNJA BODI YA HOSPITAL KWASABABU BODI IMEMALIZA MUDA WAKE..HAHAAA

Ilimaliza lini muda wake??!!
Alihitaji kwenda pale kuvunja bodi??!!
Ilihitaji kuzunguka wodini ili tu kuvunja bodi. . . . .

Ukiona iceberg usifurahie kuwa ushaijua bahari. . . . . .kuwa makini zaid
 
Watu wanajua kupamba. KUMBE MAGUFULI KAVUNJA BODI YA HOSPITAL KWASABABU BODI IMEMALIZA MUDA WAKE..HAHAAA
Bodi ilishamaliza muda wake unaaenda kuovunja ili iweje?
Sifa za kijinga, ni sawa na mwaka jana kina zito wakakomaa bodi ya tanesco ivunjwe wakati ilikua imemaliza muda wake. Ni aibu kwa hili taifa.
 
CCM bado inanuka Rushwa, ufisadi, uhaini, usaliti, uovu, upendeleo, ubadhirifu etc...Si MAGUFULI wala yeyote ndani ya CCM awezaye kuwageuza hawa mafirauni, dawa sahihi ilikuwa ni kuwaondoa tu, lengo ambalo lilishafanikiwa, sema wizi wa kura na kutokuwa na TUME HURU kukatukwamisha!


Kwa hiyo mliona mlikodi Jizi liwaingize ikulu? Shame
 
Amempa fursa ya kujieleza? Ikitokea kuwa serikali ndio haikupeleka fungu, atamrudisha kazini? Utawala bora hauko hivyo.

Ndio nyinyi mliozoea uundwaji wa tume lukuki kuchunguza vitu ambavyo viko wazi.... Ila kwa comment hii inaonyesha kabisa hata Hon President akifanya jema lipi hutokaa u appreciate kwa kuwa akili yako bado ina utandu utandu wa mihemko.
 
..how about UCHAFU?

..hivi mmeona jinsi hospitali ya taifa ilivyo CHAFU?


..mbona kule Aga Khan alipotembelea kulikuwa kusafi?

..Raisi alipaswa kuwafuta kazi wahusika walisababisha hali ya uchafu Muhimbili.

uchafu upo nchi nzima. Tatizo gari za kuzoa.kuhusu kuhusu vifaa vya hospital hakuna jinsi lazima kila hospital ya wilaya viwepo hii itasaidia mrundikano muhimbili
 
..how about UCHAFU?
..hivi mmeona jinsi hospitali ya taifa ilivyo CHAFU?
..mbona kule Aga Khan alipotembelea kulikuwa kusafi?
..Raisi alipaswa kuwafuta kazi wahusika walisababisha hali ya uchafu Muhimbili.

Ukiweka bodi na mkurugenzi mpya ukiwapa ToR si basi. . . . .au unataka akafanye mpaka bed making kwa mikono yake???!!!!
 
hayo maswala raisi hana muda wa kufuatilia na kusoma barua ,,,..... alipaswa kutoa taarifa kuonesh kafanya juhudi zipi???? ok nilipeleka taarifa wizarani ikakataa kutoa ushirikiano,,,,, enhe what next?? ukaamua kulala watu wafe?????
embu tumuache raisi afanye kazi

Usipoteze nguvu zako bure mkuu ku argue na watu type hii, maana wao wanasubir kuona ni wapi Dr Magufuri atatakosea waanze kutema utumbo wao, bahati nzur jamaa anaendelea kuwaonyesha vile wengine wasivyoviweza na hawakuwahi kuthubutu kufanya
 
Je huyo waziri wa afya ana majibu gani kuhusu juu ya hili suala? Je waziri alishawahi kupewa taarifakamili ya hapo hospitalini?
ni vizuri amemsimamisha kazi mkuruenzi sasa ni vizuri tujue kosa liko wapi hassa?na waliohusika wote wasimamishwe kazi.
Na kama alisha tengewa hela ya service na akazitumia kwa masuala yake binafsi ya ufisadi huyo mkurugenzi basi ni yeye ndio wa kwanza kuwajibika sio waliokua chini yake maana ni tatizo la miezi mwili hili sio la siku mmoja au wiki.
 
Back
Top Bottom