Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,277
- 17,983
Katika hali isiyo ya kawaida, JPM amshauri Rais Museveni amtimue Mtendaji Mkuu wa Uganda Revenue Authority kwenye kongamano la wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.
Hii blunder kubwa kwenye anga za kidiplomasia. Angalau hayo wameongea kwenye faragha. Walifanya hivyo lakini ajabu kayaleta hadharani.
Kazi tunayo.
Hii blunder kubwa kwenye anga za kidiplomasia. Angalau hayo wameongea kwenye faragha. Walifanya hivyo lakini ajabu kayaleta hadharani.
Kazi tunayo.