MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,185
- 24,055
Rais wa Zambia amewasili kwa ziara ya kiserikali ya siku mbili ambayo pamoja na mambo mengi, nchi mbili zitatiliana mikataba ya kiuchumi na kijamii.
Tanzania na Zambia zina uhusiano na historia ya muda mrefu iliyoasisiwa na viongozi wa awamu ya kwanza wa Tanzania na Zambia lakini pia nchi hizi mbili ni mwanachama wa Southern African Development Community (SADC) yenye nchi 15 wanachama.
Rais Magufuli akijiandaa kumpokea Rais wa Zambia, Edgar Lungu.
Rais Magufuli akiongea na Rais wa Zambia, Lungu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege tayari kwa ziara ya siku mbili nchini.
Tanzania na Zambia zina uhusiano na historia ya muda mrefu iliyoasisiwa na viongozi wa awamu ya kwanza wa Tanzania na Zambia lakini pia nchi hizi mbili ni mwanachama wa Southern African Development Community (SADC) yenye nchi 15 wanachama.
Rais Magufuli akijiandaa kumpokea Rais wa Zambia, Edgar Lungu.
Rais Magufuli akiongea na Rais wa Zambia, Lungu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege tayari kwa ziara ya siku mbili nchini.