Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Bashite
Kwa wale ambao walikuwa kila jumapili wanaudhuria kanisa la " KISHILAWADU" kwenda kupata ubuyu ulioandaliwa na wauza ngada na matawi yao , na kulisoma gazeti fulani badala ya biblia , wakiomba kupitia hilo gazeti eti kiboko yao atumbuliwe wameula wa chuya sijui jumapili ijayo wahuduriaji na wafuatiliaji kupitia you tube watapatikana???
Kwa wale ambao walikuwa kila jumapili wanaudhuria kanisa la " KISHILAWADU" kwenda kupata ubuyu ulioandaliwa na wauza ngada na matawi yao , na kulisoma gazeti fulani badala ya biblia , wakiomba kupitia hilo gazeti eti kiboko yao atumbuliwe wameula wa chuya sijui jumapili ijayo wahuduriaji na wafuatiliaji kupitia you tube watapatikana???
Tafadhali ipe heshima Chemistry yetu....hatuna watu wa hivyo kwenye kemia!!.. siasa na chemistry wapi na wapi? Chemistry is all about life,its real life no blah blah!!!Tusichoelewa ni kuwa mtazamo wa injinia wa kemia kwenye uchumi wa nchi ni tofauti na civil engineer, ni tofauti na profesa wa historia, ni tofauti na mchumi Honest Ngowi (Prof.), ni tofauti na mmachinga anayeuza nguo makoroboi na kongo, ni tofauti na wamasai wa manyara waliopoteza mifugo sababu ya ukame, ni tofauti na wakulima wa migomba Kagera iliyoshabuliwa na mnyauko, ni tofauti ba mlima korosho mtwara, ni tofauti na mwenye kiwanda pwani nk (huwezi maliza makundi yote maana mengine hayajulikani lakini yapo).
Kwa maana hiyo ndio maana linakuja wazo la kujadiliana na kuafikiana huku tukikubali tu kwamba wengi wape regardless wako sahihi au la! Lakini hapo hapo ndipo linakuja wazo la kuwa mtu akituhumiwa na wengi haina haja ya kumlazimisha maana nchi ina watu milioni 50!
Kwa kauli za leo sina comment mkuu,tusubiri Neema ya Mungu japo kukata tamaa si jambo jemaKwa sababu ni Rais anafikiri nchi ni yake peke yake na anaweza kuamua chochote bila kushirikisha watu wake hata vyombo vingine vya dola kama Bunge na mahakama. Yeye ni dola kwa maana Bunge, Mahakama na Majeshi. Ni wakati wa kuamka na kuona tuna Rais gani na yuko kwa ajili ya maslahi ya nani kama siyo yetu wananchi
Haiwezekani mtu aseme eti: Yeye ni Rasi anayejiamini, hata fomu alienda kuchukua mwenyewe, aliamua mwenyewe kuwa ana-fit kuwa Rais. Ina maana hata kura alijipigia? Hii ni dharau ya hali ya juu kwa sisi tuliompigia kura!
Kwani ile ilikuwa ni ofisi ya RC au TBC? Issue hapo sio kulindwa, kutumia walinzi wanaomlinda kwenda kufanya uhalifu kama ule ni sawa?Sasa alivamia??? Mfano Mh. Rais anapoenda mahali huwa na ulinzi sasa huo ni uvamizi? Kwani hamjui siku hizi Mh. makonda analindwa?!?!
ekwishakubali kirahisi hivyo kaeni kimya!Asaidiwe vipi wakati ameweka wazi kwamba yeye hapangiwi? Yeye ndiye anaamua nani akae wapi. Hata fomu ya uraisi hakushauriwa na mtu, alijishauri mwenyewe!
Nchi ilishafika pabaya na raisi ameshtuka mapema!! ingekuwa kama wauza ngana na mashetani wao wameshinda. Yaani jumapili ilikuwa ni kichefuchefu watu wanakwenda kwenye hilo hema na huyu mhubiri wa magumashi kutegemea matamko ya kuchafua watu!!!??? sasa hivi pressure juu wameshindwa!!!!!!!!!!!!!!!!!??Hao kwetu ni vinyago tulivovichonga wenyewe havitutishi, ngoma ndio kwanza inaanza, yaani tunatoka barabara za mtaani tunaingia sasa main road, unataka kukimbia na huna break, what do u expect, weka popcorn tayari za kutosha.....
Uhalifu gani sijui alioufanya. Ameiba nini? Amempiga nani?Kwani ile ilikuwa ni ofisi ya RC au TBC? Issue hapo sio kulindwa, kutumia walinzi wanaomlinda kwenda kufanya uhalifu kama ule ni sawa?
Mkuu umezungumza vizuriii ,anachokitafuta mkulu atakipata ...mimi naona kafanya vzurii maana anatupeleka kwenye ukombozi ,ipo siku watu watachukuwa maamuzi magumu hatotegemeaKama kuna siku nimeamka na kushindwa kumwelewa JPM ni leo. nilipoamka tu kujiandaa kwenda chuo, maana ni kawaida yangu kuangalia angalau kidogo taarifa za nyumbani hakika nimeshangaa.
Hivi JPM anadhani Watanzania hawana akili timamu ni mbumbu wa kutupwa au ameamua tu kutubeza na kutuona hatuna uwezo wa kufanya chochote.
Kwanza nimegundua kuwa ni mtu wa kauli mbili, mara zote amekuwa akituaminisha kuwa watu walimshauri achukuwe fomu agombee urais leo kwenye utuba yake amesema hajawahi kushauriwa na mtu alichukuwa fomu mwenyewe.
Pia amesema yeye ndie anayepanga huyu akae wapi na huyu akae wapi je ile dhana kuwa Urais ni taasisi imekufa? amesema wazi hashauriwi wala hafanyi jambo kwa kuambiwa au kushauriwa na watu.
JPM ameonyesha wazi kuwa yeye ndie anayemtuma Makonda kufanya hayo yote kwa hiyo anayetaka kupambana na Makonda ajiandae.
JPM anaona kujadili kuvamiwa kwa clouds ni umbea na upuuzi na kutuona watanzania watu wa ovyo sana. Sasa tuwasikie wale wabunge na mawaziri waliofikia hatua ya kusema wako tayari kufukuzwa kama Makonda hatachukuliwa hatua.