sasa yanadhihrka kle nilichokuwa nawaza kila siku kuwa watanzania 75% wanauwezo mdogo sana wa kufkir juu ya maamuz yao ktk mukstabal wa nch yao! m2 kakufanyia umafya lkn huyo2 anakuja tena kukurubun nawe unaungana nae,m2 huyu kakutengenezea makosa,watu wameumia,wamekufa nk leo unathubutu kuwa nae karib kisa 2mbo lako lnanjaa na sio kusimamia kile unachokiamin na kujal dhahma walozipata wenzako! Tanzania 2tachelewa sana.poor Tanzania!