Rais Magufuli ameshindwa kuimarisha taasisi za umma, atazihamishia ofisi ya Rais taasisi zote?!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,191
103,715
2016- Tamisemi ilihamia Ofisi ya Rais
2017- Manunuzi yote yalihamia ofisi ya Rais
2017- Mikataba yote ya ujenzi wa miradi mikubwa Right pointing backhand indexofisi ya Rais
2018- ATCL ikahamia chini ya ofisi ya Rais
2020- TIC inahamia kwake

Na sasa kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu kwenda Ofisi ya Rais. Amesema anataka kupambana na wale wanaokwamisha uwekezaji, kwani anataka muwekezaji apewe kibali ndani ya siku 14.

Kwa sisi wataalamu tunaamini taasisi zikiimarika nchi imeimarika na itabaki imara siku zote kwa sababu zimejijenga. Lakini kwa hicho anachofanya Rais maana yake asipokuwepo yeye mambo hayaendi.

Wanamichezo tanamuomba na TFF, Simba na Yanga azihamishie ofisi ya Rais
 
Kabla ya hilo swali tutathimini hizo zilichochukuliwa na kuwa chini ya ofisi ya raisi zina hali gani?

Sijui kama tutafika.
 
2016- Tamisemi ilihamia Ofisi ya Rais
2017- Manunuzi yote yalihamia ofisi ya Rais
2017- Mikataba yote ya ujenzi wa miradi mikubwa Right pointing backhand indexofisi ya Rais
2018- ATCL ikahamia chini ya ofisi ya Rais
2020- TIC inahamia kwake

Na sasa kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu kwenda Ofisi ya Rais. Amesema anataka kupambana na wale wanaokwamisha uwekezaji, kwani anataka muwekezaji apewe kibali ndani ya siku 14.

Kwa sisi wataalamu tunaamini taasisi zikiimarika nchi imeimarika na itabaki imara siku zote kwa sababu zimejijenga. Lakini kwa hicho anachofanya Rais maana yake asipokuwepo yeye mambo hayaendi.

Wanamichezo tanamuomba na TFF, Simba na Yanga azihamishie ofisi ya Rais
Embu soma kichwa chako cha habari... Afu husinisha kama kinaendana na ulichoandika mtaalamu..
Toa mfano hizo taasisi alizo amishi ofisi yake mfano tamisemi ilifanya vyem au lah..
 
Kabla ya hilo swali tutathimini hizo zilichochukuliwa na kuwa chini ya ofisi ya raisi zina hali gani?

Sijui kama tutafika.
Mfano kama tamisemi wamefanya vizuri sana chini ya ofisi ya raisi ila kwakuwa mirengo yenu inajulikana mtapinga... Hyo sumaku iliyokamata akili zenu ni nyoko
 
2016- Tamisemi ilihamia Ofisi ya Rais
2017- Manunuzi yote yalihamia ofisi ya Rais
2017- Mikataba yote ya ujenzi wa miradi mikubwa Right pointing backhand indexofisi ya Rais
2018- ATCL ikahamia chini ya ofisi ya Rais
2020- TIC inahamia kwake

Na sasa kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu kwenda Ofisi ya Rais. Amesema anataka kupambana na wale wanaokwamisha uwekezaji, kwani anataka muwekezaji apewe kibali ndani ya siku 14.

Kwa sisi wataalamu tunaamini taasisi zikiimarika nchi imeimarika na itabaki imara siku zote kwa sababu zimejijenga. Lakini kwa hicho anachofanya Rais maana yake asipokuwepo yeye mambo hayaendi.

Wanamichezo tanamuomba na TFF, Simba na Yanga azihamishie ofisi ya Rais
Kuhusu TIC, kuna mtu ame tweet video ya Aliko Dangote anaulizwa kuhusu mahusiano yake na rais Magufuli na uwekezaji Tanzania.

Majibu ya Dangote yanasikitisha sana.

 
2016- Tamisemi ilihamia Ofisi ya Rais
2017- Manunuzi yote yalihamia ofisi ya Rais
2017- Mikataba yote ya ujenzi wa miradi mikubwa Right pointing backhand indexofisi ya Rais
2018- ATCL ikahamia chini ya ofisi ya Rais
2020- TIC inahamia kwake

Na sasa kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu kwenda Ofisi ya Rais. Amesema anataka kupambana na wale wanaokwamisha uwekezaji, kwani anataka muwekezaji apewe kibali ndani ya siku 14.

Kwa sisi wataalamu tunaamini taasisi zikiimarika nchi imeimarika na itabaki imara siku zote kwa sababu zimejijenga. Lakini kwa hicho anachofanya Rais maana yake asipokuwepo yeye mambo hayaendi.

Wanamichezo tanamuomba na TFF, Simba na Yanga azihamishie ofisi ya Rais

Kama hazifanyi vizuri chini ya PM unataka ziendelee kubaki chini yake? Isn't that what's called insanity doing the same thing over and over again expecting a different result?
 
Back
Top Bottom