Tokea Magufuli alivyoingia Ikulu Watanzania wamefarijika na wamefaidika.
Juhudi zilizofanyika kuwathibiti wakwepa kodi, mafisadi, wala rushwa. wazembe: hii ndio ilikuwa ndoto ya Watanzania siku nyingi.
Sasa Magufuli ameingia madarakani anatekeleza msmbo haya.
Bado zipo changamoto za kuleta harmony ndani ya nchi na harmony kati yetu na majirani.
Lakini Watanzania tudishindwe and let us make quarrelling history.
Tuishi kwa a man I from now and forever more.