Kubwajinga
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,194
- 297
Mwanzoni nilidhani upinzani umekwishiney kumbe bado wanakazi ya kufanya. Waanzie na prof. Muhongo
CHADEMA kimekuwa chama cha majungu na ukosefu wa nidhamu tu sasa. Hawana lolote la maana kwani walishakumbatia watu wachafu, Lowassa na Rostan, kuliko yoyote Tanzania.