Rais Magufuli amebadilka sana hasa katika siku za karibuni.Nimepata angalau wasaa wa kuangalia akishiriki shughuli mbalimbali na naona kuna unyenyekevu fulani ambao haukuwepo mwanzoni.
Namsikiliza akitambua uwepo wa viongozi wengine,nimemuangalia body language na tone akitamka "Mheshimiwa ...." kwa kweli kwangu naona kuna mabadiliko makubwa.
Namuombea Mwenyezi Mungu azidi kumpa hekima,aongoze nchi kwa haki na usawa na amalizie miaka mitano ijayo kwa kuwaunganisha zaidi Watanzania wote!!
Namsikiliza akitambua uwepo wa viongozi wengine,nimemuangalia body language na tone akitamka "Mheshimiwa ...." kwa kweli kwangu naona kuna mabadiliko makubwa.
Namuombea Mwenyezi Mungu azidi kumpa hekima,aongoze nchi kwa haki na usawa na amalizie miaka mitano ijayo kwa kuwaunganisha zaidi Watanzania wote!!