Rais Magufuli alisomaje chuo kikuu?

Rais Magufuli alisomaje chuo kikuu?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,562
Reaction score
57,887
Wakuu

Nimeangalia CV ya Rais nimeona amesema chuo degree ya kwanza mwaka 1985 -1988.

Je, alipataje elimu yake ?
Je, alisomeshwa na nani?
Je, kama alisomeshwa na serikali amelipa pesa ya serikali iliyomsomesha?
Je, kama hakulipa kwanini anawakazia wanafunzi waliokuwa chini ya bodi walipe madeni?
Kama hakulipa maana bodi ilikuwa aijaundwa kwanini hataki wenzake wasome bure?
Kwanini imekuwa ngumu sana kwa mtu aliyepewa elimu bure yeye kuwanyima wenzie elimu?
Basi hata hizo za kurudisha wapeni basi wadogo zetu masikini ziwasadie.

Ukweli mchungu ni kuwa hakuna viongozi wowote waliojilipia ada ya chuo kikuu.
Magufuli
Lowassa
Kikwete
Ndalichako .

Na wengine mulisoma bure udsm na wala hamkudaiwa pesa baada ya masomo yenu.

Nyerere kawapa elimu bure na Mungu anawaona nyerere alitumia uchawi gani?

Pamoja na kuwa na
Mafuta
Gesi
Madini ya kila aina
Bandari tatu
Samaki
Mbuga za wanyama
Mlima mrefu kuliko yote Africa
Mmeshindwa kutoa elimu bure?

Magufuli toa elimu bure mpaka chuo kikuu au jiuzulu.
 
Wakuu

Nimeangalia CV ya Rais nimeona amesema chuo degree ya kwanza mwaka 1985 -1988.

Je alipataje elimu yake ?
Je alisomeshwa na nani?
Je kama alisomeshwa na serikali amelipa pesa ya serikali iliyomsomesha?
Je kama hakulipa kwanini anawakazia wanafunzi waliokuwa chini ya bodi walipe madeni?
Kama hakulipa maana bodi ilikuwa aijaundwa kwanini hataki wenzake wasome bure?
Kwanini imekuwa ngumu sana kwa mtu aliyepewa elimu bure yeye kuwanyima wenzie elimu?
Basi hata hizo za kurudisha wapeni basi wadogo zetu masikini ziwasadie.

Ukweli mchungu ni kuwa hakuna viongozi wowote waliojilipia ada ya chuo kikuu.
Magufuli
Lowassa
Kikwete
Ndalichako .

Na wengine mulisoma bure udsm na wala hamkudaiwa pesa baada ya masomo yenu.

Nyerere kawapa elimu bure na Mungu anawaona .

Magufuli toa elimu bure mpaka chuo kikuu au jiuzulu.
NCHI YA GININGI BI KIREMBWE NDOO RAIS
 
Zamani wasomaji walikuwa wachache so ilikuwa ni rahisi kuwasomesha. Now wasomaji wamekuwa wengi so inakuwa ni mzigo mkubwa kwa taifa... Hili suala lingekuwa rahisi Zaidi kama ukusanyaji wa mikopo kwa wakopaji waliomaliza lingekuwa effective...
Nijibu hili swali:
Kama zamani wanafunzi walikuwa wachache je mapato na nchi nayo hayajabadilika?
 
Wakati yeye anasoma yaani kuanzia waliosoma 1993 kwenda nyuma ilikuwa unasoma bure alafu unatakiwa kufanya kazi serikalini kwa muda wa miaka 5 lakini kwa waliosoma kuanzia 1994 na kuendelea ndio utaratibu wa mikopo ulipoanzishwa na lengo lilikuwa kupata idadi kubwa ya wanafunzi kwa kigezo kwamba wanaporudisha walengwa wa mikopo zinapatikana za kulipia wengine. Kutokana na kutokuwepo utaratibu mzuri wa ukusanyaji madeni ndipo 2004 bodi ya mikopo ilipoanzishwa japokuwa bado changamoto ya ukusanyaji madeni haukuwa mzuri mpaka ilipofika 2009 angalau makusanyo yalianza kukusanywa japo kwa kasi ndogo

Kwahiyo Rais na kundi lake na wazee wetu wote wao sheria hahiwataki kulipa mikopo
 
Watanzania ifike hatua tuache kulia lia ovyo kwa vitu vya kawaida kabisa ,sasa we kwa akili yako wakati unatafuta hao watoto ulieweka kabisa kabisa kuwa asilimia 100 lazima watasomeshwa na serikali? kama uliwatafuta mwenyewe kwa raha zako mwenyewe ukawasomesha kwa shida mwenyewe malizia mzigo wako na sio kulialia kwa mikopo.

yani ingekuwa agizo langu hiyo mikopo hakuan kutoka kamwe,kwani sioni sababu kama ulimudu kusomesha kuanzia la kwanza hadi la saba mwenyewe,ukasomesha form 1 hadi 4 mwenyewe,ukasomesha collage au form 5 hadi 6 mwenyewe bila hata hiyo kitu inayoita bodi ya mikopo iweje leo ushindwe kumalizia chuo? kwa sababu ukipiga gharama za kusomesha utagundua gharama za kutoka la kwanza hadi form 6 ni mara sita zaidi ya ghrama za kumsomesha mtoto chuo.

Watanzania tuache kulialia kila siku ili tuonewe huruma
 
Sera ya kuchangia elimu ya juu imeanza miaka ya mwanzoni mwa 90s, wote waliosoma kabla ya hapo hawadaiwi.
 
Wakuu

Nimeangalia CV ya Rais nimeona amesema chuo degree ya kwanza mwaka 1985 -1988.

Je alipataje elimu yake ?
Je alisomeshwa na nani?
Je kama alisomeshwa na serikali amelipa pesa ya serikali iliyomsomesha?
Je kama hakulipa kwanini anawakazia wanafunzi waliokuwa chini ya bodi walipe madeni?
Kama hakulipa maana bodi ilikuwa aijaundwa kwanini hataki wenzake wasome bure?
Kwanini imekuwa ngumu sana kwa mtu aliyepewa elimu bure yeye kuwanyima wenzie elimu?
Basi hata hizo za kurudisha wapeni basi wadogo zetu masikini ziwasadie.

Ukweli mchungu ni kuwa hakuna viongozi wowote waliojilipia ada ya chuo kikuu.
Magufuli
Lowassa
Kikwete
Ndalichako .

Na wengine mulisoma bure udsm na wala hamkudaiwa pesa baada ya masomo yenu.

Nyerere kawapa elimu bure na Mungu anawaona .

Magufuli toa elimu bure mpaka chuo kikuu au jiuzulu.
Kila kitabu na zama zake
 
ndo maana Africa haisonge mbele!!mweusi anawaza backward (retrospectively) Na hats anavyowaza wavimsaidii!!!sijui ni watu Wa namna gani mnamshambulia mtu kana kwamba kumshambulia mtu huyo kina faida yoyote kwa taifa!!jifunzeni kuangalia mema ya mtu maana hata Mungu humsamehe mtu anapoaanza kutenda mema si mabaya!!kama chadema wangeangalia mabaya si Dhani kama Lowassa wangempokea
 
Fedha za kusomesha wanafunzi chuo kikuu zilikuwa zinatolewa na wafadhili mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000! Wafadhili walipojitoa kutusomesha ndio yakaanza haya mambo ya mikopo...
Nijibu hili swali:
Kama zamani wanafunzi walikuwa wachache je mapato na nchi nayo hayajabadilika?
 
Wewe Bawacha hivi hujui kama zamani wanafunzi wa vyuo vikuu walikuwa wanasoma bure ,siyo mkopo ni bure.

Umesoma bandiko lake lote na jinsi alivyohitimisha au mumekaririshwa kubweka bweka tu kama vijibwa koko?
 
Zamani wasomaji walikuwa wachache so ilikuwa ni rahisi kuwasomesha. Now wasomaji wamekuwa wengi so inakuwa ni mzigo mkubwa kwa taifa... Hili suala lingekuwa rahisi Zaidi kama ukusanyaji wa mikopo kwa wakopaji waliomaliza lingekuwa effective...
Ukusanyaji wa mikopo utakuwaje rahisi wakati ajira za mliowakopesha mmezikalia?
 
Kinachokulazimsha ni Masharti ya Mkopo uliosaini sio Magufuli
 
Nijibu hili swali:
Kama zamani wanafunzi walikuwa wachache je mapato na nchi nayo hayajabadilika?
Hii kauli ya uchache huwa siipendi angalau umehoji maana utendaji kazi wa serikali unategemea wananchi wake yaani kama vile SACCOS inavyofanya kazi ukiwa na watu 10 kila mtu akatoa mwekundu utakuwa na laki vivyo hivyo kwa mwenye watu 20. Na serikali hali kadhalika, ukiondoa rasilimali za nchi mtaji wa serikali ni nguvu kazi ya wananchi wake unless kama raia ni wazembe na viongozi wanawaangalia
 
mkuu mimi nafikili la msingi hapa ni serikali iboreshe upatikanaji wa mikopo na ukusanyaji.
Lakini hilo la kutoa elimu bure hadi chuo, kwa nchi ilivyo kwa sasa hilo haliwezekani.
Serikali haiwezi kufanya hivyo kwa sasa.
 
Back
Top Bottom