Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Hahahah ujiamini kwenye hamna? Kwa elimu inayotolewa na serikali ya CCM kwa watanzania tutaendelea kutembeza bakuri kwa muda mrefu Sana huku tukijifariji kuwa tuna resources nyingi Sana.,jiamini ,akili unazo,kama huwezi zitumia ipasavyo,utaishia kua mlalamikaji Siku zote za maisha yako,I can,we can, do!
Sent using Jamii Forums mobile app