Rais Magufuli akubalika duniani kote

Rais Magufuli akubalika duniani kote

Sio kila kitu ni kusifia tu, mimi ni team Magufuli kindakindaki ila akifanya vyongo ninamwambia ukweli.
Magufuli kushangiliwa South Africa haina maana ndio madhambi yake yatafutika.
KUHARIBU UCHUMI WA NCHI
KUVURUGA HAKI ZA RAIA
KUTOA RUSHWA KWA WABUNGE NA MADIWANI WA UPINZANI ILI WAHAMIE CCM
UTEKAJI, UTESAJI NA UUAJI
KUVURUGA SOKO LA KOROSHO
KUVUNJA NYUMBA ZA RAIA BILA FIDIA
KUVUNJA KATIBA KWA MAKUSUDI
KUKATAA KUPANDISHA MISHAHARA YA WATUMISHI WAKATI ANNUAL INCREMENT IPO KISHERIA N.K
Arudi nyumbani kurekebisha hayo.
 
Ninyi ndiyo mnaomdanganya Mh Rais kwa unafki wa kutaka vyeo.
 
Kamdanganye mama yako kuwa hauna chama cha siasa. Kama uko jamii forums na umekuja kucomment huu uzi una chama chako.

Ni tatizo la akili yako na ushamba wako wa mitandao, ndio unakusumbua
 
Njoo na proof, magufuli hajulikani nje ya east africa. Sina muda kubishana na watu ambao wakitembea sana wamegusa mpakani mwa tanzania na kenya, njoo na proof anakubalika nje tuone, hakuna hata anayemjua, no one gives a **** about shit hole politics

Kwani kujulikana mpaka aende kutembelea nchi nyingine? Kazi zake na ubunifu wake umemtangaza vya kutosha mpaka wengine wanataka kutunyima misaada. Alipoingia tu ikulu alianza na ukwepaji Kodi bandarini, akafuta safari za nje zisizo za lazima, akaanzisha kampeni ya usafi wa mazingira kwa kushika fagio mwenyewe, sheria mpya ya madini na kuzuia makinikia za Acacia, pia kule kutosafiri hata baada kualikwa na mataifa makubwa pekee ni kujulikana. Kutotembea na bakuli kwa kiongozi ni heshima ya pekee ambayo rais wetu amejipatia. Au wewe ulitaka awe anakwenda kunywa divai huko baada ya vikao visivyo na tija?
 
Mbona marais wote walishangiliwa kila walipoingia? Labda mngechukua kipengele cha rais aliyegeuka kuwa mpiga picha
 
Kwani kujulikana mpaka aende kutembelea nchi nyingine? Kazi zake na ubunifu wake umemtangaza vya kutosha mpaka wengine wanataka kutunyima misaada. Alipoingia tu ikulu alianza na ukwepaji Kodi bandarini, akafuta safari za nje zisizo za lazima, akaanzisha kampeni ya usafi wa mazingira kwa kushika fagio mwenyewe, sheria mpya ya madini na kuzuia makinikia za Acacia, pia kule kutosafiri hata baada kualikwa na mataifa makubwa pekee ni kujulikana. Kutotembea na bakuli kwa kiongozi ni heshima ya pekee ambayo rais wetu amejipatia. Au wewe ulitaka awe anakwenda kunywa divai huko baada ya vikao visivyo na tija?

Mbona unageuza mada? Umesema anakubalika sasa hivi unasema tena wananyima misaada, huko ndo kukubalika au kukataliwa?
Vitu vizuri vingi kafanya hata mi nakubali, ila hilo halimaanishi anakubalika dunia nzima, unajua dunia nzima wewe? Umezunguka hata kufika Kenya tu tusiende mbali? Hakuna mtu anamjua magufuli nje ya afrika mashariki zaidi ya viongozi wachache ambao wamepewa kazi ya kushughulika na ukanda huu.

Mi sio pingapinga kila kitu, napinga vitu ambavyo ni vya kijinga na sio vya kweli, napenda kua neutral kwenye mambo kama haya na kutumia akili sio kama matahira wengi mnakubaliana na kila jambo hata kama ni la kijinga.

Vizuri alivyofanya Magufuli
1. Bandari
2. Kukataa kuingia mikataba ya kijinga na wachina
3. Safari za nje za ovyo kajitahidi sana kuzizuia
4. Wakwepa kodi wengi sasa wanakamatwa
5. Kajitahidi kubana matumizi
6. Anapenda vya nyumbani kwanza, kama juzijuzi swala la TTCL, ni vizuri sana TTCL ifanikiwe maana inamilikiwa na watanzania, kampuni nyingine hizi ni hela tunawapa wanabeba wanapeleka kwao hela yetu inashuka thamani, hakuna hela kwenye mzunguko zote tunabeba tunawapa foreigners wanaondoka nazo.

Vibaya alivyofanya
1. Bashite anakumbatiwa mno na ujinga wote anaoufanya
2. Anajiona mungu, akisema kitu kasema kifanywe anavyotaka yeye bila kuquestion, ukiquestion tu jela
3. Uhuru hakuna, waandishi wa habari wanalijua hilo, ukipata data ukapublish serikali inataka upublish data wanayokupa wao hata kama ni ya uongo, ukipublish ukweli jela au kufungiwa na fine juu
4. Hela zinapotea hazijulikani zimeenda wapi na hataki kua questioned, taarifa ya CAG inajieleza vizuri
5. Priority za kijinga, hela anajipangia anavyotaka
6. Decisions zinatolewa juu juu tu bila kukaa na kufanya analysis ya kutosha, akiamua kitu ndani ya sekunde ashatangaza, hajakaa kufikiria side effects zake huko mbeleni ni nini
7. Ubabe wake wa kijinga unapelekea kuharibu uchumi, mfano mzuri kua na youtube channel dunia nzima tanzania pekee ndiyo sehemu wanayohitaji ulipe leseni ya 1mil kwa mwaka kabla hujaanzisha, huu ni upuuzi wa hali ya juu, badala ya iwe bure watu wajitahidi wengi waone kama watafanikiwa wakifanikiwa waregister biashara yao walipe kodi, mtu anazuiliwa kabla hata hajaanza, hivi unategemea mtanzania gani atatoa 1m kabla ya kufungua channel? Hii yote sababu ya ubabe wake kushindana na watu wanaompinga youtube, alivyo mjinga kichwani hajui wanaompinga wengi wapo nje ya nchi zile channel hawafungi, kitu kinachofanywa na mtu moja kinaua biashara za watu zaidi ya elfu moja? Kalio kabisa
8. Hajui kujicontrol, ana hasira za kijinga sana huyu mzee, unaweza hata simama kwenye mkutano wake akakuangalia kwa jicho baya ukasikia funga huyo analeta usumbufu, ndiyo dalili za udikteta huo kama hamjui, hana compassion mzee mzima anaishi kama yupo jeshini
9. Anapenda sana misifa kitu kinachopelekea anaongea ujinga ili kufurahisha watu, mfano anavyoita wanafunzi vilaza, rais mzima na akili zake badala ya kuwapa watu moyo wakae wasome anawavunja moyo kabisa, tunakaa na failures tu hawana mbele wala nyuma wanalala siku nzima wamekata tamaa. Ni vizuri kua na utu sometimes na kuangalia ukisema nini kitakua na faida, kufurahisha watu wakacheka kwa muda ila unaleta permanent damage sio kitu kizuri. Nalaumu ushamba wake kwa hili.

Magufuli ni binadamu kama wengine, ana mazuri yake na mabaya yake pia. Nyie mnaojifanya kutetea kila kitu hua mnanishangaza sana, na wanaopinga kila kitu wote group moja tu, matahira. Tumieni akili acheni ukilaza
 
RAIS Magufuli kushangiliwa kwa Nguvu Afrika kusini Ina Maana gani kwa Wapinzani wake??

Marais wengi wameenda kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini 25 May 2019 , lakini mara baada ya jina la Rais wa Tanzania John Magufuli kutajwa kwamba anaingia uwanjani ,Raia wa Afrika kusini walisimama na kushangilia kwa nguvu sana.

Umati mkubwa wa wananchi umelipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja wa michezo wa Loftus Versfeld jijini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuaishwa kwa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa leo Jumamosi Mei 25, 2019

Kwa Mtazamo Wa kawaida hii inaashiria Rais Magufuli Kukubalika KITAIFA NA KIMATAIFA,

Kwa upande wa upinzani Utaendelea Kubeza na kukejeli Hatua Ambazo anafanya Rais Magufuli ila Kwa upande Wangu wapinzani Kufanya hivyo ni Sahihi kwao kwasababu Hauwezi Kutafuta Serikali kwa kusifia Serikali Iliyopo.

Wananchi Wanatakiwa kufahamu Wapinzani wanatekeleza Majukumu Yao,ila Ukweli wanaufahamu na Ukweli siku zote Haufichiki.

Kwa Wapinzani Kwasababu ya Kupinga hata yale Mazuri yanayofanywa Na Rais Hawachelewi Kusema .

"Waliomshangilia Rais Magufuli Afrika kusini Ni wanaCCM Walisombwa na Magari"

Ndugu Kwa sasa Hatuhitaji Kukosoa kila Kitu Tunahitaji kusema pale Panapohitaji Kusema,
Tuna Vijana wengi Ambao wana uwezo Mkubwa wa kulisemea Taifa hili na Sio Kushambulia Viongozi kwa Matusi Mitandano.

Agenda ya vijana wa Upinzani kwa sasa ni

1.MAGUFULI KUMPIGA PICHA DK Kikwete na Rais wa A.Kusini Ramaphosa.

2. Rais Magufuli kaongea Lugha gani A.kusini.

Hatuwezi Kuendelea kuwa Na vijana wa upinzani Wenye Maono Madogo Kiasi Hicho, Wanawaza PICHA NA LUGHA, Tunahitaji kuwa na Vijana ambao wanakuja na Mikakati ya Kuendeleza Uchumi, Umoja wetu Kitaifa na Uzalendo.

Hakika Magufuli Anakubalika kidunia.

KWA STYLE AMBAYO VIJANA WA UPINZANI WANAENDA NAYO, HATA KAMATI KUU YA CHADEMA NDIO IKIWA TUME YA UCHAGUZI CCM INASHINDA KWA KISHINDO.

ASANTE.

Road To 2020.
Florian Musumi
Mwanza.
Wewe mbumbumbu mkubwa umetokea wapi?
You are a new Lumumba hire, eti anakubalika Dunia nzima, Marekani hadi leo haijateua Balozi wa kuiwakilisha Tanzania Kwa sababu ya huyu Dikteta...
Yupo naibu Balozi tu kinyume na taratibu za kidiplomasia.
Kajipange upya kuandika topic za kusifia ujinga
 
Ni kweli, aliyeshangiliwa ni Tanzania ya Nyerere ambayo ilifanya sacrifice kubwa kuwaunga mkono ndugu zetu wa Afrika Kusini. Si Tanzania hii ya sasa ambayo inalala kitanda kimoja na Israel na Morocco. Kama JPM angekuwa Rais wa awamu ya kwanza ni dhahiri Tanzania isingeunga mkono harakati za ukombozi wa nchi za Africa Kusini. Hivyo Rais wa awamu ya 5 (ambaye si JPM) asingeweza kushangilingiliwa.
True mkuu jili lipo wazi kabisa kiasi kwamba kumkubusha mtu hua naona hata uvivu,sasa inafika kipindi vi thread km hivi naona labda anasaka uteuzi au kitu kingne
 
RAIS Magufuli kushangiliwa kwa Nguvu Afrika kusini Ina Maana gani kwa Wapinzani wake??

Marais wengi wameenda kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini 25 May 2019 , lakini mara baada ya jina la Rais wa Tanzania John Magufuli kutajwa kwamba anaingia uwanjani ,Raia wa Afrika kusini walisimama na kushangilia kwa nguvu sana.

Umati mkubwa wa wananchi umelipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja wa michezo wa Loftus Versfeld jijini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuaishwa kwa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa leo Jumamosi Mei 25, 2019

Kwa Mtazamo Wa kawaida hii inaashiria Rais Magufuli Kukubalika KITAIFA NA KIMATAIFA,

Kwa upande wa upinzani Utaendelea Kubeza na kukejeli Hatua Ambazo anafanya Rais Magufuli ila Kwa upande Wangu wapinzani Kufanya hivyo ni Sahihi kwao kwasababu Hauwezi Kutafuta Serikali kwa kusifia Serikali Iliyopo.

Wananchi Wanatakiwa kufahamu Wapinzani wanatekeleza Majukumu Yao,ila Ukweli wanaufahamu na Ukweli siku zote Haufichiki.

Kwa Wapinzani Kwasababu ya Kupinga hata yale Mazuri yanayofanywa Na Rais Hawachelewi Kusema .

"Waliomshangilia Rais Magufuli Afrika kusini Ni wanaCCM Walisombwa na Magari"

Ndugu Kwa sasa Hatuhitaji Kukosoa kila Kitu Tunahitaji kusema pale Panapohitaji Kusema,
Tuna Vijana wengi Ambao wana uwezo Mkubwa wa kulisemea Taifa hili na Sio Kushambulia Viongozi kwa Matusi Mitandano.

Agenda ya vijana wa Upinzani kwa sasa ni

1.MAGUFULI KUMPIGA PICHA DK Kikwete na Rais wa A.Kusini Ramaphosa.

2. Rais Magufuli kaongea Lugha gani A.kusini.

Hatuwezi Kuendelea kuwa Na vijana wa upinzani Wenye Maono Madogo Kiasi Hicho, Wanawaza PICHA NA LUGHA, Tunahitaji kuwa na Vijana ambao wanakuja na Mikakati ya Kuendeleza Uchumi, Umoja wetu Kitaifa na Uzalendo.

Hakika Magufuli Anakubalika kidunia.

KWA STYLE AMBAYO VIJANA WA UPINZANI WANAENDA NAYO, HATA KAMATI KUU YA CHADEMA NDIO IKIWA TUME YA UCHAGUZI CCM INASHINDA KWA KISHINDO.

ASANTE.

Road To 2020.
Florian Musumi
Mwanza.
Hakika Rais Magufuli ni jiwe zito lililowashinda wapinzani sasahivi wanapumulia mashine kwa sababu na uchochezi wao lakini HAWAMUWEZI NDIO KWANZA STATUS YAKE INAPAA.
 
Imeshangiliwa nchi .. . Kutokana na historia . Duniani wanamjua Nyerere tu
 
RAIS Magufuli kushangiliwa kwa Nguvu Afrika kusini Ina Maana gani kwa Wapinzani wake??

Marais wengi wameenda kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini 25 May 2019 , lakini mara baada ya jina la Rais wa Tanzania John Magufuli kutajwa kwamba anaingia uwanjani ,Raia wa Afrika kusini walisimama na kushangilia kwa nguvu sana.

Umati mkubwa wa wananchi umelipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja wa michezo wa Loftus Versfeld jijini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuaishwa kwa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa leo Jumamosi Mei 25, 2019

Kwa Mtazamo Wa kawaida hii inaashiria Rais Magufuli Kukubalika KITAIFA NA KIMATAIFA,

Kwa upande wa upinzani Utaendelea Kubeza na kukejeli Hatua Ambazo anafanya Rais Magufuli ila Kwa upande Wangu wapinzani Kufanya hivyo ni Sahihi kwao kwasababu Hauwezi Kutafuta Serikali kwa kusifia Serikali Iliyopo.

Wananchi Wanatakiwa kufahamu Wapinzani wanatekeleza Majukumu Yao,ila Ukweli wanaufahamu na Ukweli siku zote Haufichiki.

Kwa Wapinzani Kwasababu ya Kupinga hata yale Mazuri yanayofanywa Na Rais Hawachelewi Kusema .

"Waliomshangilia Rais Magufuli Afrika kusini Ni wanaCCM Walisombwa na Magari"

Ndugu Kwa sasa Hatuhitaji Kukosoa kila Kitu Tunahitaji kusema pale Panapohitaji Kusema,
Tuna Vijana wengi Ambao wana uwezo Mkubwa wa kulisemea Taifa hili na Sio Kushambulia Viongozi kwa Matusi Mitandano.

Agenda ya vijana wa Upinzani kwa sasa ni

1.MAGUFULI KUMPIGA PICHA DK Kikwete na Rais wa A.Kusini Ramaphosa.

2. Rais Magufuli kaongea Lugha gani A.kusini.

Hatuwezi Kuendelea kuwa Na vijana wa upinzani Wenye Maono Madogo Kiasi Hicho, Wanawaza PICHA NA LUGHA, Tunahitaji kuwa na Vijana ambao wanakuja na Mikakati ya Kuendeleza Uchumi, Umoja wetu Kitaifa na Uzalendo.

Hakika Magufuli Anakubalika kidunia.

KWA STYLE AMBAYO VIJANA WA UPINZANI WANAENDA NAYO, HATA KAMATI KUU YA CHADEMA NDIO IKIWA TUME YA UCHAGUZI CCM INASHINDA KWA KISHINDO.

ASANTE.

Road To 2020.
Florian Musumi
Mwanza.
Hata Idd Amin na Bashir walikuwa wanakubalika .Ona mwisho wao!
 
Kweli anakubalika , msikate rufaa ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi basi.
 
RAIS Magufuli kushangiliwa kwa Nguvu Afrika kusini Ina Maana gani kwa Wapinzani wake??

Marais wengi wameenda kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini 25 May 2019 , lakini mara baada ya jina la Rais wa Tanzania John Magufuli kutajwa kwamba anaingia uwanjani ,Raia wa Afrika kusini walisimama na kushangilia kwa nguvu sana.

Umati mkubwa wa wananchi umelipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja wa michezo wa Loftus Versfeld jijini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuaishwa kwa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa leo Jumamosi Mei 25, 2019

Kwa Mtazamo Wa kawaida hii inaashiria Rais Magufuli Kukubalika KITAIFA NA KIMATAIFA,

Kwa upande wa upinzani Utaendelea Kubeza na kukejeli Hatua Ambazo anafanya Rais Magufuli ila Kwa upande Wangu wapinzani Kufanya hivyo ni Sahihi kwao kwasababu Hauwezi Kutafuta Serikali kwa kusifia Serikali Iliyopo.

Wananchi Wanatakiwa kufahamu Wapinzani wanatekeleza Majukumu Yao,ila Ukweli wanaufahamu na Ukweli siku zote Haufichiki.

Kwa Wapinzani Kwasababu ya Kupinga hata yale Mazuri yanayofanywa Na Rais Hawachelewi Kusema .

"Waliomshangilia Rais Magufuli Afrika kusini Ni wanaCCM Walisombwa na Magari"

Ndugu Kwa sasa Hatuhitaji Kukosoa kila Kitu Tunahitaji kusema pale Panapohitaji Kusema,
Tuna Vijana wengi Ambao wana uwezo Mkubwa wa kulisemea Taifa hili na Sio Kushambulia Viongozi kwa Matusi Mitandano.

Agenda ya vijana wa Upinzani kwa sasa ni

1.MAGUFULI KUMPIGA PICHA DK Kikwete na Rais wa A.Kusini Ramaphosa.

2. Rais Magufuli kaongea Lugha gani A.kusini.

Hatuwezi Kuendelea kuwa Na vijana wa upinzani Wenye Maono Madogo Kiasi Hicho, Wanawaza PICHA NA LUGHA, Tunahitaji kuwa na Vijana ambao wanakuja na Mikakati ya Kuendeleza Uchumi, Umoja wetu Kitaifa na Uzalendo.

Hakika Magufuli Anakubalika kidunia.

KWA STYLE AMBAYO VIJANA WA UPINZANI WANAENDA NAYO, HATA KAMATI KUU YA CHADEMA NDIO IKIWA TUME YA UCHAGUZI CCM INASHINDA KWA KISHINDO.

ASANTE.

Road To 2020.
Florian Musumi
Mwanza.
Binti unamaanisha anakubalika Lumumba makao makuu ya wale nzi wa kijani???
 
Hakuna Rais alieshangiliwa kama Mnangagwa wa Zimbabwe, Mfalme wa Swaziland (eSwatin) na yule wa Lesotho.
Msitufanye wajinga.
 
Back
Top Bottom