- Thread starter
- #41
Mfano mdogo tu ..leo hii tunajifa.ya eti tunailaumu Marekani kuhusu MCC eti tupo huru tunataka kujitegemea! Mwaka mmoja uliopita serikali ilikuwa inajigamba Bungeni kuhusu msaada huohuo wa MCC! ,kuwa tupo vizuri hatutanyimwa ..Leo tumekuwa Taifa huru..kisa Mapinduzi Daima!Mkuu post za watu woote baada ya thread hii ndio post inayoelewwka zingine ni kama zimeandikwa na wafia ccm