Jana Mbowe hakupima joto kabla ya kuongea na waandishi wa habari. Sasa sijui itakuweje.
Jana Mbowe hakupima joto kabla ya kuongea na waandishi wa habari. Sasa sijui itakuweje.
Sasa kama una degree mbona umejibu?Hii nayo inahitaji degree kweli kujibiwa...?
Rais Magufuli akipima joto la mwili kabla ya kuingia katika ukumbi wa Baraza la Mawaziri kuongoza kikao cha Baraza ambacho kimehudhuriwa na Makamu wa Rais, Samia Suluhu, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Mawaziri, Manaibu na Viongozi wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, Chamwino Jijini Dodoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais mpenda watu
Safi sana....... Uongozi ni kuonyesha njia!