Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Rais Magufuli akipima joto la mwili kabla ya kuingia katika ukumbi wa Baraza la Mawaziri kuongoza kikao cha Baraza ambacho kimehudhuriwa na Makamu wa Rais, Samia Suluhu, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Mawaziri, Manaibu na Viongozi wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, Chamwino Jijini Dodoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app