Rais Magufuli akimaliza muda wake wengi watammiss sana

ningekuwa na uwezo ningemfufua babu MWALIMU J.K.NYERERE.Hao wengine ni wamiss kwa kipi!!uwekezaji,maisha bora kwa kila mtanzania kipi kilifanikiwa?Tanzania ya viwanda nayo mchelemchele
 
JPM ni Rais wa Milele atamalizaje Muda? Labda Useme akitangulia kuleeee kwny haki ndo tuta mmiss
 
Kikwete ni case tofauti sana, yule ndiye mwanasiasa pekee hapa Tanzania ambae ni professional na yupo complete. Ana nidhamu, hekima, busara, msikivu pia ana maamuzi magumu. Japo ana mapungufu yake kama binadanu, hasa kuendekeza 'ushkaji' lakini anabaki kuwa mwanasiasa bora katika ardi ya TZ.

Magufuli is the other way round. Ana kiburi, mnoko, mshamba, hana busara wala hekima, si msikivu, ni mkurupukaji, maamuzi yake si magumu bali ya kindezi. Hua najihisi niliikosea sana nchi yangu mwaka 2015, waTZ mnisamehe sana kwa kuwasaliti, sitampa tena ******** kura yangu. Na sioni uwezekano wa yeye kukumbukwa baada ya kustaafu.
MTU mwenye busara huwa na akiba ya maneno kama utakuwa hai naomba haya maneno yako uyakumbuke muda ukifika
 
Kwa sasa ni ngumu kutoa comment kuhusu Dr Magufuli.

Ila akiondoka ndiyo itajulikana baada ya kupiga alichokifanya.

Kwa sasa Dr Magufuli yupo ktk vita kubwa ya kimaslahi.Wengi wetu tumehujumu nchi yetu ktk level tofauti.
 
Magufuli hana historia ya kumisiwa...wizara zote alizopitia hakuna hata wizara moja wanammis..kwanza alikuwa akihamishwa wanashukuru sembuse wana kagera aliotulia michango yetu..!! Kumisiwa ataendelea kuota tu
 
Wanao kudharau, siku moja watakusalimia kwa heshima, mlimtukana kikwete mara tezi dume, rais legelege, mkwere anaweza kuongoza inchi, leo mnamuona shujaa. Naamini hata Magufuli mwisho wa siku mtamsifia. Ila leo nimeamini maisha bila unafiki hayaendi.
 
Nchi hii tunaongozwa na wana mazingaombwe na ndo sababu hatuendelei. Leo wanasema hili na kabla hakujakucha wanasema lile, walimsema Lowassa kwa maneno yote ya khanga ila leo ndo mfalme wao. Walimdhiaki na kumtusi Kikwete ila leo wanamwona lulu, nafurahi kwasabsbu naamini pia baada ya JPM kuondoka hawa hawa wanaomkejeri ndio hao hao watakaokuwa wa kwanza kumkumbuka tena kwa mazuri mengi. Na mfano dhahiri ni pale waliposema "eti" mh. anatekeleza ilani yao hapo mwanzo ila alipohamia kwenye kodi na madawa ya kulevya sasa wanasema raisi anaua uchumi. Maendeleleo ya viwanda hayawezi kuja kwa siasa za kinafiki kiasi hiki hata siku moja.
 
Kikwete ni case tofauti sana, yule ndiye mwanasiasa pekee hapa Tanzania ambae ni professional na yupo complete. Ana nidhamu, hekima, busara, msikivu pia ana maamuzi magumu. Japo ana mapungufu yake kama binadanu, hasa kuendekeza 'ushkaji' lakini anabaki kuwa mwanasiasa bora katika ardi ya TZ.

Magufuli is the other way round. Ana kiburi, mnoko, mshamba, hana busara wala hekima, si msikivu, ni mkurupukaji, maamuzi yake si magumu bali ya kindezi. Hua najihisi niliikosea sana nchi yangu mwaka 2015, waTZ mnisamehe sana kwa kuwasaliti, sitampa tena ******** kura yangu. Na sioni uwezekano wa yeye kukumbukwa baada ya kustaafu.
Nyie ndio mmetuletea haya matatizo,mliambiwa mkawa hamuelewi kabisa
 
MAGUFULI hatapicha yake ndio nikiona naweuka mchana na usiku, nikija kummisi kichaa aliepewa RUNGU,Basi kumbe nitakua sina MARINDA.
IMG-20161031-WA0007.jpg
 
Kikwete ni case tofauti sana, yule ndiye mwanasiasa pekee hapa Tanzania ambae ni professional na yupo complete. Ana nidhamu, hekima, busara, msikivu pia ana maamuzi magumu. Japo ana mapungufu yake kama binadanu, hasa kuendekeza 'ushkaji' lakini anabaki kuwa mwanasiasa bora katika ardi ya TZ.

Magufuli is the other way round. Ana kiburi, mnoko, mshamba, hana busara wala hekima, si msikivu, ni mkurupukaji, maamuzi yake si magumu bali ya kindezi. Hua najihisi niliikosea sana nchi yangu mwaka 2015, waTZ mnisamehe sana kwa kuwasaliti, sitampa tena ******** kura yangu. Na sioni uwezekano wa yeye kukumbukwa baada ya kustaafu.
Umefanya vyema kijana kutubu dhambi uliyotenda. Endelea kufanya malipizi kwa kuanika madhaifu yote ya mkuu mpaka 2020.
 
Wana JF
salaam

Natumai shangwe, nderemo, vifijo, msisimko na furaha ya kumuona Dr Jakaya Kikwete katika ukumbi maalumu wa wageni viongozi waalikwa pale bungeni zilizotokea,wabunge walishindwa kujizuia kuonesha furaha ya kumkosa sana Mh Rais mstaafu Luteni Kanali mstaafu Dr Jakaya Kikwete baada ya kuhudhuria mualiko wa Bunge, Bunge lililipuka kwa furaha baada ya kumuona Dr Kikwete, mpaka Mh Spika mh Job Ndugai alisema hajawahi kuona mgeni mualikwa bungeni anashangiliwa hivyo na kwa muda mrefu hivyo waliommiss Kikwete WAPO, Aidha nahisi itakua hivyo kwa Dr Magufuli akistaafu urais na akijakupata mualiko wa Bunge ikitokea tukio la yeye kualikwa, wabunge wataonesha shangwe na nderemo kwa Magufuli.

Sawa yawezekana ukawa una ukweli fulani Mkuu ila nikuulize tu swali unadhani ' Wahenga ' walikosea waliposema ule msemo kuwa siku zote ' dalili ya mvua ni mawingu? ' au ile nyingine isemayo ' nyota njema huonekana asubuhi? '. Nitashukuru ukinijibu juu ya hiyo ' Misemo ' miwili ya ' Wahenga ' wetu Wapendwa.
 
kM MKAPA SIJAMISS IWEJE KICHAA HUYU? Teh teh
Umerogwa lbda Bashite ndiyo atamiss.
Mm nikiwa nasikiliza radio au naangalia tv nikimsikia Magufuri, Majaliwa, ummy, chawene, ndalichako, mama mwwnye roho mbaya Kairuki, kigwa, muhongo, chata yyte ya ccm huwa nabadilisha channel kbsa. SITAWAKI KIWASIKIA HAWA WENDAWAZIMU KBSA KTK MAISHA YANGU. Nikipanda hata dalala nikakuta picha Magu sipandi kbsa. Hawa wapuuz sana.
 
Back
Top Bottom