Anaandaliwa kisaikolojia kung"atuliwa.Kwanini kaimu RC na sio bashite.
bashite ndio Daudi AlbertHongera sana. Kwa kweli wanastahili kuwa watoto cuz its like 6 years sijakusikia. Mimi simfahamu Bashite ni nani!!
Hawajui wahindi ngoja atimuliwe akaombe hata kilo tano za unga atasikilizia.bashite karibu kitaa tusugue gaga. Rafiki zako GSM nao watakutenga tu
??????????bashite ndio Daudi Albert
Chopa ipo kwa wapi hapo ?jamaa alisafiri kwa gari na karudi na chopa
HahahahaNDO MAANA NAMPENDA MAGUFULI NINGEMSHANGAA KUMUONA NA BASHITE
RAISI WANGU ANA BUSARA SANA .MUNGU MBARIKI RAISI WETU
six years? hapana toka 2014 hadi leo miaka mingapi?Hongera sana. Kwa kweli wanastahili kuwa watoto cuz its like 6 years sijakusikia. Mimi simfahamu Bashite ni nani!!
Hahahaha....afu utashangaa kesho yake anaenda kulia tena kwa wale ma sheikh.....Bashite bhanaNa kwa jinsi alivyolia leo kule kimara, sijui kashika makali ya upanga au moto? Maana kilio kile sicho kabisa.
Hivi kweli alipewa heshima ya king'ora au alipita kama sisi tunavyopita na foleni yetu.DAUD BASHITE amelala kimara?
Shika adabu yako, uliona Mungu akipiga kura? Acha ujinga ww, Magufuli ni chaguo lenu watzMagufuli ni chaguo la Mungu.
Ww vyeti vyako vyaweza kuwa na UBASHITE kiasi flani ivi...yani kama ki design flani iviKesho tuanzishe uzi humu kuongelea kia mtu kafaidikaje na hii issue ya Mh. Makonda, yaani huko kwenye bank accounts zenu pesa zimeongezeka au mmepata faida kiasi gani kikubwa katika mengine au unapofanya kazi umeonezwa mshahara kwa kushabikia ya Makonda.
Makonda oyeeeee
bashite ndo nani tena? mmh
Watanzania fanyeni kazi. Acheni maneno maneno ya ajabu ajabu
Alikuwa Church analiamakonda hayupo imekaaje hyo?
Vipi Daudi Bashite amepata dharura ya kumfanya asiende kumpokea "baba" yake?karibu president wetu dar es salaam! huku makelele tu sijui vyeti, mara gwajima, mara wema, du watu hawana kazi wanashnda mitandaoni!