Hahahahahaha,Leo Rais Magufuli yupo wilaya ya Arumeru kuzindua mradi mkubwa wa maji.
Shamra shamra na mapokezi ya Rais Magufuli ni ya mfano kwenye wilaya hii, ukiwaangalia wananchi wanavyoshangilia na kumfurahia rais, huwezi kuamini kabisa kama Arusha/Arumeru ni ngome ya Chadema.!
Ikumbukwe kuwa kabla ya ujio wa rais mkoani Arusha ,Bavicha walikuwa wanaendesha propaganda ili Magufuli asipate mapokezi makubwa kufuatia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kufungwa jela baada ya kukiuka mashariti ya dhamana na kusafiri na Joyce Mkuya kwenda Ulaya..
Je mapokezi makubwa ya rais Magufuli Arusha ina maana wananchi wamepuuza wito wa Bavicha wa kumlilia Mbowe ambae yupo Segerea kwa sasa.??
Hao wanaofurahia ni wajinga wenzako mliobebana nao kutoka huko usukumani na Rwanda