IBRAHIM KAUKI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2014
- 542
- 210
na bado utapanua domo sana c uliipenda mwenyew wacha uisome nmbaSheikh Khalifa, pitia na huku.
na bado utapanua domo sana c uliipenda mwenyew wacha uisome nmbaSheikh Khalifa, pitia na huku.
madaraka yepi? ya kupigana judo?Naam, hatujasoma, Nyie mliosoma mmekifanya nini zaidi cha maana zaidi ya ambao hatujasoma?
Ukija kwenye siasa, tunawika
Ukija kwenye uchumi, tunawika
Ukija kwenye Biashara, tunawika
Ukija kweye Diplomasia, tunawika
Ukija kwenye uungwana, tunawika
Tunachosikitika mnafanya khiyana halafu yote hayo hamuyajuwi mnachojuwa ni ufisadi tu na kuididimiza nchi.
tumekuwa tukiahidiwa toka siku nyingi .Hapana. Hazijasahaulika.Zinaanza hizi kwanza nyingine zitafata Januari 2017...
Wewe acha kupotosha ndg, nimesoma shule ya Kislam darasani tulikuwa 500, ila uwiano ulikuwa 150:350.Mzee wa msoga, ulipiga 5:7 ulitusogeza kidogo japo hukuweza kusawazisha kabisa maana walikulaumu kupitiliza. Tulikulilia sana walau tupate 7:7 ukaweka hekima zako mbele, kwakua ulikuta 3:7 basi hata hapo 5:7 ulijitahidi. Sasa wamekuja wenyewe wameswitch 1:7, shaikh Khalifa kabeep kidogo kuwakumbusha wakasogeza 2:7. Wayunani jitahidini kuona haya jamani!!! hivi hata kuwa balozi tu utasema hawakusoma kuliko wale?
Shule gani hiyo inafundisha uwiano wa sampuli hiyo, hebu gawanya hizo namba urahisishe mambo. Halafu hivi hapa tunazungumzia nini nikumbushe naona kama tunatoka nje ya reli.Wewe acha kupotosha ndg, nimesoma shule ya Kislam darasani tulikuwa 500, ila uwiano ulikuwa 150:350.
Afu useme tupo saws hapo!
Hayo yote anafanya. Anashindwa kusaini kibali cha ajira!?
SafiiRais Dkt Magufuli afanya uteuzi wa mabalozi 15 kujaza nafasi zilizowazi
View attachment 442366View attachment 442367