Tena si dogo, Kabudi ana uzoefu wa maswala ya kimataifa?
Mahiga ni MTU makin kwa masuala ya kimataifa, huyo aliewekwa ni kwa Ajili ya Tundu lissu na ni kitu magu anakoseaTaarifa rasmi kutoka Kurugenzi ya mawasiliano ikulu imetolewa leo tarehe 03 Machi 2019 kuwa Mheshimiwa Rais Magufuli amemteua Dk. Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na pia amemteua Prof. Paramagamba Kabudi kuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki. Mawaziri hao wataapishwa Ikulu kesho tarehe 04 Machi 2019 saa 3:30 asubuhi.
Kabuki amewekwa front line kupambana na harakati za Lissu.
Umewaza kama mimiKabudi amewekwa front line kupambana na harakati za Lissu.
Tena amesafisha sana mzee na mtoto wake walikochafuaMahiga ni MTU makin kwa masuala ya kimataifa, huyo aliewekwa ni kwa Ajili ya Tundu lissu na ni kitu magu anakosea
Sent using Jamii Forums mobile app