sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 2,996
- 5,213
Taarifa rasmi kutoka Kurugenzi ya mawasiliano ikulu imetolewa leo tarehe 03 Machi 2019 kuwa Mheshimiwa Rais Magufuli amemteua Dk. Augustine Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na pia amemteua Prof. Palamagamba Kabudi kuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki.
Mawaziri hao wataapishwa Ikulu kesho tarehe 04 Machi 2019 saa 3:30 asubuhi.
Mawaziri hao wataapishwa Ikulu kesho tarehe 04 Machi 2019 saa 3:30 asubuhi.