Unaongelea Mwl Nyerere yupi? Mbona mlimwita haambiliki leo hii nyie tena ndio mmekuwa mstari wa mbele kujitamba kwamba mlikuwa mnamkubali. Bado hatujasahau jinsi mlivyokuwa mnamkebehi leo hii baada ya kufa ndio mnamwona alikuwa mzuri? Hata JPM akiondoka baada ya muda wake mtakuja na kusema bora JPM angekuwepo, ni binadamu ambao hamna shukrani mmejaa usaliti mioyoni mwenu. Hata muda haujapita kila uchwao mlimsimanga JK ohhh anatembea kama Vasco da Gama etc leo mnamlilia kwa sababu alikuwa hana uwezo wa kuongoza na mlifanya Tanzania dangulo la wauza unga na wezi wa meno ya Tembo nk.
Watanzania wengi hawana shukrani tu pamoja na wewe. Kwanza hufahamu maana ya Demokrasi kwa sababu 1. Demokrasi sio kwa sababu wewe binafsi na kikundi chako cha vikaragosi mna chuki binafsi then mnakuja na ngonjera kusema kwamba hakuna demokrasi. Kwa faida yako na makasuku wenzako tafsri ya Demokrasi hapa chini:
''Democracy is a form of government in which the people have the authority to choose their governing legislation. Who people are and how authority is shared among them are core issues for democratic development and constitution. Some cornerstones of these issues are freedom of assembly and speech, inclusiveness and equality, membership, consent, voting, right to life and minority rights.''
Kama lugha imekupiga chenga shauri yako. Sasa kama wewe umekwazika sema ni lipi hapo ambalo unasema limekukwaza kwa ushahidi sio kuleta viroja kwenye hoja muhimu. Majungu peleka kwa makasuku wenzako.