Rais Magufuli acha dhihaka

Hiyo hiyo definition ya democracy ndio imeshakiukwa ktk nchi hii kwa siku nyingi.

Hiyo freedom of speech, freedom of assembly ziko wapi. Haki hiyo ya kupiga kura iko wapi au hiyo the right to life iko wapi wakati kuna wengine hadi leo hawajulikani waliko.

Kama huwezi kuyaona hayo basi wewe ndio kasuku wa ukweli yule atakuwa feki.

Mkuu unaandika hapa sasa freedom of speech ni ipi? Freedom of assembly ipi ambayo huipati? Kura hulazimishwi, si vyama vya upinzani vimejitoa vyenyewe sasa ulitaka vilazimishwe? Wengine kina nani? Unataka ulindwe nyumbani kwako na pesa za walipa kodi? Huo ndio ukasuku akili unashikiliwa wakati unatakiwa uitumie kujiendeleza. Serikali haiwezi kufanya kila jambo mengine mnajitakia wenyewe then mnalaumu Serikali. Hakuna hata nchi moja ulimwenguni ambayo hakuna watu waliopotea au kuuwawa na kesi zao hazijapatiwa ufumbuzi. Hizi ni lawama ambazo hazina msingi.
 
Ole,
Ole huwa unanichekesha vibaya, naona huwa unataka ushahidi, huwa sikuelewi unataka ushahidi gani kuwa demokrasia yetu inabakwa hivi sasa. Mtu akipitia hoja zako anaweza kudhani una hoja za msingi, lakini ukiangalia ni mtu uliyeshiba propaganda za kizee, kwa maneno marahisi uko ndani ya box.

Mkuu, the burden of proof is yours.
 
Huko kwenye damu ni mbali sana, sasa kama kuna mtu anafikiri 2020 damu itamwagika...haya mwambieni alimwage kojo lake kwanza tulione...
 
Mkuu unaandika hapa sasa freedom of speech ni ipi? Freedom of assembly ipi ambayo huipati? Kura hulazimishwi, si vyama vya upinzani vimejitoa vyenyewe sasa ulitaka vilazimishwe? Wengine kina nani? Unataka ulindwe nyumbani kwako na pesa za walipa kodi? Huo ndio ukasuku akili unashikiliwa wakati unatakiwa uitumie kujiendeleza. Serikali haiwezi kufanya kila jambo mengine mnajitakia wenyewe then mnalaumu Serikali. Hakuna hata nchi moja ulimwenguni ambayo hakuna watu waliopotea au kuuwawa na kesi zao hazijapatiwa ufumbuzi. Hizi ni lawama ambazo hazina msingi.
Ndugu yako ndio angepotea usingeongea upuuzi huo unaoongea hapo. Anyway, yote yana mwisho.

Kuna waliokuwa wakifanya exactly kama hayo lkn leo ni history na huenda huko walipo wanatamani wasingezaliwa ktk dunia hii. Time will bear me witness.
 
Toka nje ya box utachekwa boss.

Usikariri semi ambazo huwezi kuzifahamu kwa undani, nimesema ''the burden of proof is yours''. Mimi siogopi kuchekwa, yaani hao wanaonicheka siwaoni halafu ni watu ambao wanatumia majina ya bandia hawanifahamu siwafahamu. basi itakuwa ni kituko. Hapa ni points tu na kuweza kutoa ukweli ambao siku zote husimama no matter what.
 
Ndugu yako ndio angepotea usingeongea upuuzi huo unaoongea hapo. Anyway, yote yana mwisho.

Kuna waliokuwa wakifanya exactly kama hayo lkn leo ni history na huenda huko walipo wanatamani wasingezaliwa ktk dunia hii. Time will bear me witness.

Mkuu unalaumu watu kwa sababu ndugu yako kapotea? Kwani wangapi wanapotea Tanzania hii? Utawala wa sheria upo unashindwa nini kutoa vielelelezo vyako Polisi? Hatufanyi mambo kwa sababu ya kufikiria, sheria zipo mbona kila Mtanzania anafuata sheria iweje wewe/nyinyi mnataka kutumia nguvu tu bila kuwa na ushahidi? Mkuu peleka ushahidi wako polisi au kama unaona hawatakusaidia peleka UN tuone kama hatua hazitachukuliwa. Tuache porojo na majungu.
 
Mkuu unaandika hapa sasa freedom of speech ni ipi? Freedom of assembly ipi ambayo huipati? Kura hulazimishwi, si vyama vya upinzani vimejitoa vyenyewe sasa ulitaka vilazimishwe? Wengine kina nani? Unataka ulindwe nyumbani kwako na pesa za walipa kodi? Huo ndio ukasuku akili unashikiliwa wakati unatakiwa uitumie kujiendeleza. Serikali haiwezi kufanya kila jambo mengine mnajitakia wenyewe then mnalaumu Serikali. Hakuna hata nchi moja ulimwenguni ambayo hakuna watu waliopotea au kuuwawa na kesi zao hazijapatiwa ufumbuzi. Hizi ni lawama ambazo hazina msingi.

Inawezekana kabisa Matukio hayo yakawepo lakini yana tofautiana Mazingira ya Matukio yenyewe ,mfano hai kabisa ni hili la hapa kwetu la Mh Lissu.Mazingira yake yapo wazi tofauti na Matamko ya Vyombo vya Usalama.Tuna Haki Kikatiba kuhakikishiwa Usalama wetu Raia wa Nchi hii.

La Dada yetu Akwilina (R.I.P.) nalo unalisemea vipi Mkuu !?.
 
Dunia nzima inajua kuwa Tanzania mikononi mwako haina Demokrasia ,umefanya kila unaloweza kuua Demokrasia na Uhuru wa Habari.

Mimi hapa nakuandikia nikiwa natumia ID fake ili kulinda usalama wangu.

Lakini jukwaa hili la Jamiiforums nalotumia linaandamwa na serikali ili litoe siri au majina halisi ya wakosoaji wa serikali humu, na hadi sasa Kesi ipo mahakamani.

Wewe ni mkuu wa nchi, mfalme wa taifa la Tanzania, kutamka kwako hadharani kwamba eti Tanzania ina Demokrasia kubwa, ni kuwadhihaki watu wako uliowanyima haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi wanaowataka.

Nikueleze wazi kwamba tangu umeingia madarakani umesahau kabisa kuwa maisha yana kesho, leo hii wewe ni Rais ila siku zijazo hutakuwa Rais tena, na hawa wanaokupa sifa kila siku hata ambako hustahili watakugeuka wote na kuanza kumsifia Rais atakayekuwa madarakani.

Mh Rais, hofu yako iko wapi hasa? mbona kuna sehemu unafanya vizuri kiasi cha kukubalika na watu automatically? Kwanini umekubali kuchoreshwa kiasi hicho?

Yaani wewe ni Binadamu, una mapungufu mengi tu sasa iweje ukubali kusifiwa kiasi hicho na wanaokukosoa waonekane wabaya?

Mwl Nyerere aliulizwa swali na mwandishi wa BBC enzi za uhai wake akiwa Rais mwaka 1983.
"Why are you getting ready to retire? "
Mwl Nyerere alijibu.

"Because I need to create a fresh legacy of mine and my country as well ".

Leo hii watanzania tunajivunia Mwl Nyerere, hata mabeberu walimpenda na kumwogopa Mwl.
Nyerere aliwahi kumshauri Kaunda na kumwambia.

"Mzee mwenzangu, achia madaraka kabla watu hawajakuchoka ".

Kaunda alikuwa Kiburi, hakuwa na hekima, hakusikiliza ushauri wa Mwl, matokeo yake alikuja kuondoka madarakani kwa aibu kubwa mno.

Wazambia hawana Rais wa kujivunia Kama sisi watanzania tunavyojivunia kwa Nyerere.

Ni kwa sababu Kaunda hakuacha Legacy nzuri.
Kikwete ameondoka madarakani na kuacha Legacy ya kuheshimu mfumo wa vyama vingi na Demokrasia.

Miaka ya nyuma Kati ya 1980 au 1984 Tanzania ilikumbwa na balaa la njaa, Nyerere hakuwaambia watanza nia kwamba ni wavivu na hawalimi watakufa njaa...

Alikimbilia Marekani kuomba msaada wa Chakula kwa ajili ya watu wake, msaada ulikuja haraka na malori yakaanza kusambaza Chakula nchi nzima, kila kaya iligawiwa Chakula cha kutosha, Mahindi ya njano, Burga (American meal) Maziwa ya unga pamoja na mafuta ya kupikia.

Wananchi walikula na kusaza hadi balaa la njaa lilipoisha .

Je wewe utaacha Legacy gani kwa taifa lako?
Rejea ya Tetemeko la Bukoba, MV Nyerere, Wafanyakazi, Demokrasia na Uhuru wa Habari, Uchumi wa nchi na anguko kuu la Mihimili ya Serikali.

=====
Maoni ya Wadau
Shukuru uko hapa as anonymous, ninyi watu hamna Hata jeuri ya kuongea Mbele yake. Nendeni kwenye mikutano yake mumueleze.
 
Usikariri semi ambazo huwezi kuzifahamu kwa undani, nimesema ''the burden of proof is yours''. Mimi siogopi kuchekwa, yaani hao wanaonicheka siwaoni halafu ni watu ambao wanatumia majina ya bandia hawanifahamu siwafahamu. basi itakuwa ni kituko. Hapa ni points tu na kuweza kutoa ukweli ambao siku zote husimama no matter what.

Nasema hivi, toka nje ya box propaganda zinakupofusha. Nahisi ww lazima utakuwa ni mzee.
 
Inawezekana kabisa Matukio hayo yakawepo lakini yana tofautiana Mazingira ya Matukio yenyewe ,mfano hai kabisa ni hili la hapa kwetu la Mh Lissu.Mazingira yake yapo wazi tofauti na Matamko ya Vyombo vya Usalama.Tuna Haki Kikatiba kuhakikishiwa Usalama wetu Raia wa Nchi hii.

La Dada yetu Akwilina (R.I.P.) nalo unalisemea vipi Mkuu !?.

TL huna ushahidi, ni majungu tu yanaendelea. Chadema inasemekana wanahusika na wengine wwanasema CCTV ziliondolewa etc lakini mwenye kesi ameitelekeza hataki kuja kutoa ushahidi wake. Pengine muulize Zito maana ana urafiki mkubwa sana na TL siku za hivi karibuni hivyo hakuna anayefahamu hasa what is cooking.

Akwilina (RIP) aliuawa kwenye maandamano ambayo yalipigwa marufuku na Polisi, kesi ipo mahakamani kama sikosei, sasa unataka mimi niseme nini?
 
Nasema hivi, toka nje ya box propaganda zinakupofusha. Nahisi ww lazima utakuwa ni mzee.

Sawa mimi ni mzee, wewe ni kijana. Hilo halikuondolei wewe kushindwa kuleta hapa ushahidi. (''the burden of proof is yours''.) Then naomba uniambie propaganda zangu ni zipi?
 
Ben Saanane yupo wapi wewe jinga?

Huyo muulizeni Mbowe maana alikuwa mshauri wake mkuu kama sikosei. Halafu tafuteni kuna tetesi kwamba alipokuwa anasoma India hakumaliza, alitoroka baada ya kuua raia wa nchi ile. Tafuteni taarifa za kweli wacheni majungu.
 
Sawa mimi ni mzee, wewe ni kijana. Hilo halikuondolei wewe kushindwa kuleta hapa ushahidi. (''the burden of proof is yours''.) Then naomba uniambie propaganda zangu ni zipi?

Pambana na kisukari tu mzee ole, sioni kama una jipya zaidi ya kutapika propaganda ulizoshibishwa.
 
Huyo muulizeni Mbowe maana alikuwa mshauri wake mkuu kama sikosei. Halafu tafuteni kuna tetesi kwamba alipokuwa anasoma India hakumaliza, alitoroka baada ya kuua raia wa nchi ile. Tafuteni taarifa za kweli wacheni majungu.

Jiwe ndio muhusika fullstop.
 
Pambana na kisukari tu mzee ole, sioni kama una jipya zaidi ya kutapika propaganda ulizoshibishwa.

Sawa mimi nina kisukari wewe unaonaje? Kisukari changu kinavyokupa nondo ambazo huwezi kuzitolea ufafanuzi. Kumbe kisukari ni kizuri hebu nieleze kikoje hicho kisukari nikitafute.
 
Back
Top Bottom