Ole
JF-Expert Member
- Dec 16, 2006
- 2,157
- 975
Hiyo hiyo definition ya democracy ndio imeshakiukwa ktk nchi hii kwa siku nyingi.
Hiyo freedom of speech, freedom of assembly ziko wapi. Haki hiyo ya kupiga kura iko wapi au hiyo the right to life iko wapi wakati kuna wengine hadi leo hawajulikani waliko.
Kama huwezi kuyaona hayo basi wewe ndio kasuku wa ukweli yule atakuwa feki.
Mkuu unaandika hapa sasa freedom of speech ni ipi? Freedom of assembly ipi ambayo huipati? Kura hulazimishwi, si vyama vya upinzani vimejitoa vyenyewe sasa ulitaka vilazimishwe? Wengine kina nani? Unataka ulindwe nyumbani kwako na pesa za walipa kodi? Huo ndio ukasuku akili unashikiliwa wakati unatakiwa uitumie kujiendeleza. Serikali haiwezi kufanya kila jambo mengine mnajitakia wenyewe then mnalaumu Serikali. Hakuna hata nchi moja ulimwenguni ambayo hakuna watu waliopotea au kuuwawa na kesi zao hazijapatiwa ufumbuzi. Hizi ni lawama ambazo hazina msingi.