Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,775
Ina saund kama ulikua na mchongo alafu ukabuma.Kuna watu wanajiona wamefika. Tunapita tu, na ni suala la muda.
Ina saund kama ulikua na mchongo alafu ukabuma.Kuna watu wanajiona wamefika. Tunapita tu, na ni suala la muda.
Mkuu machadema ni majinga sana!nikipitia nyuzi za jf enzi za mh. Kikwete na za sasa napata wakati mgumu. sijui wale wachangiaji wa enzi zile walihama jukwaa au ni hawa hawa waliobadili id!!!!!
hivi watanzania tunataka nini?
Hicho kinywaji unachotumia acha kina madhara kwa afya ya ubongo wako.Nyinyi mashabiki wake Rais, munamupenda sana sana na pia kumuongelea na kumuandika.. mbona hamuja ongelea kiongozi wetu wa nchini.. kiongozi wa upinzani Bungeni!! Hivi yupo pouwa?
Hiyo hiyo definition ya democracy ndio imeshakiukwa ktk nchi hii kwa siku nyingi.Unaongelea Mwl Nyerere yupi? Mbona mlimwita haambiliki leo hii nyie tena ndio mmekuwa mstari wa mbele kujitamba kwamba mlikuwa mnamkubali. Bado hatujasahau jinsi mlivyokuwa mnamkebehi leo hii baada ya kufa ndio mnamwona alikuwa mzuri? Hata JPM akiondoka baada ya muda wake mtakuja na kusema bora JPM angekuwepo, ni binadamu ambao hamna shukrani mmejaa usaliti mioyoni mwenu. Hata muda haujapita kila uchwao mlimsimanga JK ohhh anatembea kama Vasco da Gama etc leo mnamlilia kwa sababu alikuwa hana uwezo wa kuongoza na mlifanya Tanzania dangulo la wauza unga na wezi wa meno ya Tembo nk.
Watanzania wengi hawana shukrani tu pamoja na wewe. Kwanza hufahamu maana ya Demokrasi kwa sababu 1. Demokrasi sio kwa sababu wewe binafsi na kikundi chako cha vikaragosi mna chuki binafsi then mnakuja na ngonjera kusema kwamba hakuna demokrasi. Kwa faida yako na makasuku wenzako tafsri ya Demokrasi hapa chini:
''Democracy is a form of government in which the people have the authority to choose their governing legislation. Who people are and how authority is shared among them are core issues for democratic development and constitution. Some cornerstones of these issues are freedom of assembly and speech, inclusiveness and equality, membership, consent, voting, right to life and minority rights.''
Kama lugha imekupiga chenga shauri yako. Sasa kama wewe umekwazika sema ni lipi hapo ambalo unasema limekukwaza kwa ushahidi sio kuleta viroja kwenye hoja muhimu. Majungu peleka kwa makasuku wenzako.
Lkn jiulize kwa nini watu watumie fake identities???Mkuu machadema ni majinga sana!
Jitu linaandika mada kama hii kisha linasema hakuna uhuru wa Habari.
In Zakia's Meghji voiceMy son drink water!!!
anakanyaga katiba yao huyo KUB? usichanganye minaraNyinyi mashabiki wake Rais, munamupenda sana sana na pia kumuongelea na kumuandika.. mbona hamuja ongelea kiongozi wetu wa nchini.. kiongozi wa upinzani Bungeni!! Hivi yupo pouwa?
Hivi ni lini na wapi ilitambuliwa kwamba tunayo democrasia, maana kila awamu nchi zile zile na watu wale wale usema hakuna democrasiaMkuu Kwanini Mbowe anawatesa sana?
Huyo achaneni naye hana impact yoyote na maisha ya watanzania.