maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
Napenda niweke kumbukumbu vizuri Rais Magufuli ana uchaguzi wa vitu viwili
Moja kuanzisha chama kipya akiwa Ikulu kama Bingu wa Mutharika wa malawi ili kupambana na ufisadi sawasawa. nje ya hapo hawezi fanya kitu hata kidogo anatudanganya tu. Angalia mambo yalivyo magumu mpaka unatumia hela ya maafa?
Pili kuungana na waliomtangulia katika kupiga madili na kuendeleza ufisadi na ndo mana lazima akwame kwa sababu walioharibu nchi ni CCM na mafisadi wako CCM na anafanya nao kazi na ndo watakaommaliza
Sasa ivi anahemea mipira ingawa mbishi ila ukweli siku zote haufukiwi angalia ajira hamna, watoto wamerudishwa nyumbani bodi ya mikopo imeshindwa kuwapa hela, stahiki za wafanyakazi kashindwa kuwapa anasingizia wafanyakazi hewa.
Angalia kila kitu kiko hoi ukiuliza eti hao wanaolia ni wapiga dili ngoja mjidangane muda unazidi kuyoyoma hakuna jipya aibu tupu kila kona
kwa hiyo rais hana jipya bila kufanya maamuzi nagumu ya kuanzisha chama kipya akiwa IKULU, hapo vita hii atashinda nje ya hapo awamu hii inaweza kuwa ya mwisho kwake.
Think Big Magufuli if you realy mean what you are trying to convice us as changes
Moja kuanzisha chama kipya akiwa Ikulu kama Bingu wa Mutharika wa malawi ili kupambana na ufisadi sawasawa. nje ya hapo hawezi fanya kitu hata kidogo anatudanganya tu. Angalia mambo yalivyo magumu mpaka unatumia hela ya maafa?
Pili kuungana na waliomtangulia katika kupiga madili na kuendeleza ufisadi na ndo mana lazima akwame kwa sababu walioharibu nchi ni CCM na mafisadi wako CCM na anafanya nao kazi na ndo watakaommaliza
Sasa ivi anahemea mipira ingawa mbishi ila ukweli siku zote haufukiwi angalia ajira hamna, watoto wamerudishwa nyumbani bodi ya mikopo imeshindwa kuwapa hela, stahiki za wafanyakazi kashindwa kuwapa anasingizia wafanyakazi hewa.
Angalia kila kitu kiko hoi ukiuliza eti hao wanaolia ni wapiga dili ngoja mjidangane muda unazidi kuyoyoma hakuna jipya aibu tupu kila kona
kwa hiyo rais hana jipya bila kufanya maamuzi nagumu ya kuanzisha chama kipya akiwa IKULU, hapo vita hii atashinda nje ya hapo awamu hii inaweza kuwa ya mwisho kwake.
Think Big Magufuli if you realy mean what you are trying to convice us as changes