Rais Kuzunguka Dunia, Akisaini Mikataba Bila kudhibiti Ufujaji Wa Ndani ni Sawa na 0 + 0!

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,553
11,885
Pengine Rais haelewi ukweli kwamba anachokihangaikia yeye kusaini kila siku huko sio kinachotusumbua wananchi huku mtaani.

Unazidi kusaini mikataba,huku hata ile michache ya awali hatujaona impact yake kwa maendeleo chanya,wala ufumbuzi wa kero yoyote.

Unazidi kutafuta wawekezaji,wakati hata Umeme ambao ni nguzo kuu ya uwekezaji ukiwa unahujumiwa mbele yako?

Huu ni ukweli,ingawa "Asali Gang"na wapambe wao humu JF kina Mwashambwa na wengineo,wako busy kutetea vitumbua vyao.hawataacha kutukana hoja kama hizi.

Kuzunguka nje ukisaini mikataba,bila kudhibiti matumizi mabaya na mabovu ya serikali.l hii ya CCM.
Bado tija ya hizo ziara haitaonekana kamwe!

Unazunguka nje kuomba Omba,wakati Unashindwa kutulia Ofisini kudhibiti Ufisadi ulioibuka kwa kasi,sekta zote nchini. Hii ni sawa na kujaza maji kwenye Gunia!

Unazunguka nje kusaini mikataba,badala ya wao kuja kuisaini ndani ya nchi yetu.

Ili mikataba hiyo itekelezwe kwa mujibu wa sheria za nchi yetu.
Hii ni kwa maslahi mapana ya kina nani?

Unazunguka nje bila kutulia nchini mwako na kuzifanyia kazi changamoto lukuki zinazowakumba wananchi kwa sasa!

Badala yake Wewe ni Rais wa safari, Makongamano, warsha, mipango kazi, vikosi kazi.....huku ukiacha "Asali Gang" kuwa wasimamizi?

Rais kubali na uwasikilize wananchi.
Unayoyahangaikia wewe,sio yanayotusumbua sisi huku mtaani!

Huenda kama Mh, Rais wetu akifanikiwa kuongoza kwa miaka 10,akawa na rekodi ya pekee Duniani,kama Rais aliyesafiri na kutia saini mikataba Duniani kuliko Rais yeyote wa Afrika huko Awali.
IMG-20221104-WA0007.jpg
 
Pengine Rais haelewi ukweli.kwamba.... anachokihangaikia yeye kusaini kila siku huko!
Sio kinachotusumbua wananchi huku mtaani.

Huu ni ukweli,ingawa "Asali Gang"na wapambe wao humu JF kina Mwashambwa na wengineo,wako busy kutetea vitumbua vyao.hawataacha kutukana hoja kama hizi.

Kuzunguka nje ukisaini mikataba,bila kudhibiti matumizi mabaya na mabovu ya serikali.l hii ya CCM.
Bado tija ya hizo ziara haitaonekana kamwe!

Unazunguka nje kuomba Omba,wakati Unashindwa kutulia Ofisini kudhibiti Ufisadi ulioibuka kwa kasi,sekta zote nchini.
Hii ni sawa na kujaza maji kwenye Gunia!

Unazunguka nje kusaini mikataba,badala ya wao kuja kuisaini ndani ya nchi yetu.
Ili mikataba hiyo itekelezwe kwa mujibu wa sheria za nchi yetu.
Hii ni kwa maslahi mapana ya kina nani?

Unazunguka nje bila kutulia nchini mwako na kuzifanyia kazi changamoto lukuki zinazowakumba wananchi kwa sasa!

Badala yake Wewe ni Rais wa safari,Makongamano, warsha,mipango kazi,vikosi kazi.....huku ukiacha "Asali Gang" kuwa wasimamizi?

Rais kubali na uwasikilize wananchi.
Unayoyahangaikia wewe,sio yanayotusumbua sisi huku mtaani!

Huenda kama Mh, Rais wetu akifanikiwa kuongoza kwa miaka 10,akawa na rekodi ya pekee Duniani,kama Rais aliyesafiri na kutia saini mikataba Duniani kuliko Rais yeyote wa Afrika huko Awali.
View attachment 2407162
Unataka uende wewe. Wewe itaenda Labda kuwakilisha familia au ukoo wako
 
Kazi kwa wale wenye fursa!
Kazi kwa wale wateule!
Kazi kwa "Asali Gang"

Kazi isiyompunguzia mpiga kura makali ya matatizo,badala yake inakuwa kazi na matunda kwa wapanda V8 pekee!

La hasha!
Ifike mahali tuamke sasa!
Amka, panda huko juu alipo ubadili mtindo wake wa uongozi au itafute hiyo fursa na wewe au kuwa mlalamikaji. Maisha ni kuchagua.
 
Pengine Rais haelewi ukweli.kwamba.... anachokihangaikia yeye kusaini kila siku huko!
Sio kinachotusumbua wananchi huku mtaani.

Unazidi kusaini mikataba,huku hata ile michache ya awali hatujaona impact yake kwa maendeleo chanya,wala ufumbuzi wa kero yoyote.

Unazidi kutafuta wawekezaji,wakati hata Umeme ambao ni nguzo kuu ya uwekezaji ukiwa unahujumiwa mbele yako?

Huu ni ukweli,ingawa "Asali Gang"na wapambe wao humu JF kina Mwashambwa na wengineo,wako busy kutetea vitumbua vyao.hawataacha kutukana hoja kama hizi.

Kuzunguka nje ukisaini mikataba,bila kudhibiti matumizi mabaya na mabovu ya serikali.l hii ya CCM.
Bado tija ya hizo ziara haitaonekana kamwe!

Unazunguka nje kuomba Omba,wakati Unashindwa kutulia Ofisini kudhibiti Ufisadi ulioibuka kwa kasi,sekta zote nchini.
Hii ni sawa na kujaza maji kwenye Gunia!

Unazunguka nje kusaini mikataba,badala ya wao kuja kuisaini ndani ya nchi yetu.
Ili mikataba hiyo itekelezwe kwa mujibu wa sheria za nchi yetu.
Hii ni kwa maslahi mapana ya kina nani?

Unazunguka nje bila kutulia nchini mwako na kuzifanyia kazi changamoto lukuki zinazowakumba wananchi kwa sasa!

Badala yake Wewe ni Rais wa safari,Makongamano, warsha,mipango kazi,vikosi kazi.....huku ukiacha "Asali Gang" kuwa wasimamizi?

Rais kubali na uwasikilize wananchi.
Unayoyahangaikia wewe,sio yanayotusumbua sisi huku mtaani!

Huenda kama Mh, Rais wetu akifanikiwa kuongoza kwa miaka 10,akawa na rekodi ya pekee Duniani,kama Rais aliyesafiri na kutia saini mikataba Duniani kuliko Rais yeyote wa Afrika huko Awali.
View attachment 2407162
Wanawake sisi muda wote tunawaza kuomba omba na hua hatutosheki kabisa.
Yeye kama ameshindwa kuongoza aachie nafasi apatikane mtu mwingine, mwisho wa siku yatakuja yaibuke makubwa watu waanze kujichukulia bandari, tunakuja kutahamaki na Mt Kilimanjaro umeenda kulala kuamka wabebe na nguo zetu zote tubaki uchi.
 
Wanawake sisi muda wote tunawaza kuomba omba na hua hatutosheki kabisa.
Yeye kama ameshindwa kuongoza aachie nafasi apatikane mtu mwingine, mwisho wa siku yatakuja yaibuke makubwa watu waanze kujichukulia bandari, tunakuja kutahamaki na Mt Kilimanjaro umeenda kulala kuamka wabebe na nguo zetu zote tubaki uchi.
Na hakika huko ndiko anakotupeleka huyu Mama!

Ila kuna vipofu wa CCM humu,wao kila jambo wanaliona kichama tu.
 
Mkuu naomba nikwambie kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Hana mchezo Wala mzaha Wala Subira Wala uoga Wala aibu kwa mtu yeyote atakayebainika kufuja au kuchezea au kutumia fedha za umma kwa maslahi yake binafsi, Amini Nakwambia kuwa wote watakao bainika kucheza na fedha za umma watachukuliwa hatua Kali za kisheria, wote watawajibishwa, wote watafikishwa mahakamani, wote watazirejesha fedha za umma, wote watatambua kuwa huwezi kugusa Kodi ya mwananchi halafu ukabaki salama, wote wataanza kuziogopa fedha za umma Kama ukoma, wote watajuwa kuwa cheo Ni dhamana tu na siyo nafasi na fursa ya kuchezea fedha za watanzania, wote watapitishwa katika majuto makubwa,wote watapitishwa katika Tanuri la Moto wa uwajibishwaji na nidhamu, atapona tu Yule atakaye kuwa msafi wa mikono.

Faida Ni kubwa Sana zinazopatikana katika ziara za mh Rais nje ya nchi, Ni ziara ambazo zimeleta fursa nyingi za kiuchumi, Ni Ziara zilizoongeza uwekezaji na wawekezaji, Ni Ziara zilizochochea na kusababisha mafuriko ya watalii hapa nchini, Ni Ziara zilizofanya Tanzania kurejea katika kilele Cha Diplomasia na heshima yake kimataifa, Ni Ziara zilizo ifanya Tanzania kuwa chaguo namba moja kwa wafanyabiashara wakubwa, Ni Ziara zilizotufanya watanzania na Tanzania kuaminika nje ya nchi, Ni Ziara zilizopelekea Taasisi za kimataifa kuanza kuiamini Tanzania na kuwa Tayari kufanya nayo kazi kwa ushirikiano mkubwa na wakaribu Sana, Sasa Tanzania inasikilizwa na kuheshimika,Sasa Tanzania inapata fedha zinazosaidia kujenga Miradi mbalimbali ya kimaendeleo hapa nchini na uboreshaji wa huduma za kijamii Kama vile ujenzi wa vyumba vya Madara na vituo vya Afya pamoja na mambo mengine mengi tu ya kimaendeleo
 
Mkuu naomba nikwambie kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Hana mchezo Wala mzaha Wala Subira Wala uoga Wala aibu kwa mtu yeyote atakayebainika kufuja au kuchezea au kutumia fedha za umma kwa maslahi yake binafsi, Amini Nakwambia kuwa wote watakao bainika kucheza na fedha za umma watachukuliwa hatua Kali za kisheria, wote watawajibishwa, wote watafikishwa mahakamani, wote watazirejesha fedha za umma, wote watatambua kuwa huwezi kugusa Kodi ya mwananchi halafu ukabaki salama, wote wataanza kuziogopa fedha za umma Kama ukoma, wote watajuwa kuwa cheo Ni dhamana tu na siyo nafasi na fursa ya kuchezea fedha za watanzania, wote watapitishwa katika majuto makubwa,wote watapitishwa katika Tanuri la Moto wa uwajibishwaji na nidhamu, atapona tu Yule atakaye kuwa msafi wa mikono.

Faida Ni kubwa Sana zinazopatikana katika ziara za mh Rais nje ya nchi, Ni ziara ambazo zimeleta fursa nyingi za kiuchumi, Ni Ziara zilizoongeza uwekezaji na wawekezaji, Ni Ziara zilizochochea na kusababisha mafuriko ya watalii hapa nchini, Ni Ziara zilizofanya Tanzania kurejea katika kilele Cha Diplomasia na heshima yake kimataifa, Ni Ziara zilizo ifanya Tanzania kuwa chaguo namba moja kwa wafanyabiashara wakubwa, Ni Ziara zilizotufanya watanzania na Tanzania kuaminika nje ya nchi, Ni Ziara zilizopelekea Taasisi za kimataifa kuanza kuiamini Tanzania na kuwa Tayari kufanya nayo kazi kwa ushirikiano mkubwa na wakaribu Sana, Sasa Tanzania inasikilizwa na kuheshimika,Sasa Tanzania inapata fedha zinazosaidia kujenga Miradi mbalimbali ya kimaendeleo hapa nchini na uboreshaji wa huduma za kijamii Kama vile ujenzi wa vyumba vya Madara na vituo vya Afya pamoja na mambo mengine mengi tu ya kimaendeleo
Retaa pesa

Retaaaa pesaaa

Ova
 
Pengine Rais haelewi ukweli.kwamba.... anachokihangaikia yeye kusaini kila siku huko!
Sio kinachotusumbua wananchi huku mtaani.

Unazidi kusaini mikataba,huku hata ile michache ya awali hatujaona impact yake kwa maendeleo chanya,wala ufumbuzi wa kero yoyote.

Unazidi kutafuta wawekezaji,wakati hata Umeme ambao ni nguzo kuu ya uwekezaji ukiwa unahujumiwa mbele yako?

Huu ni ukweli,ingawa "Asali Gang"na wapambe wao humu JF kina Mwashambwa na wengineo,wako busy kutetea vitumbua vyao.hawataacha kutukana hoja kama hizi.

Kuzunguka nje ukisaini mikataba,bila kudhibiti matumizi mabaya na mabovu ya serikali.l hii ya CCM.
Bado tija ya hizo ziara haitaonekana kamwe!

Unazunguka nje kuomba Omba,wakati Unashindwa kutulia Ofisini kudhibiti Ufisadi ulioibuka kwa kasi,sekta zote nchini.
Hii ni sawa na kujaza maji kwenye Gunia!

Unazunguka nje kusaini mikataba,badala ya wao kuja kuisaini ndani ya nchi yetu.
Ili mikataba hiyo itekelezwe kwa mujibu wa sheria za nchi yetu.
Hii ni kwa maslahi mapana ya kina nani?

Unazunguka nje bila kutulia nchini mwako na kuzifanyia kazi changamoto lukuki zinazowakumba wananchi kwa sasa!

Badala yake Wewe ni Rais wa safari,Makongamano, warsha,mipango kazi,vikosi kazi.....huku ukiacha "Asali Gang" kuwa wasimamizi?

Rais kubali na uwasikilize wananchi.
Unayoyahangaikia wewe,sio yanayotusumbua sisi huku mtaani!

Huenda kama Mh, Rais wetu akifanikiwa kuongoza kwa miaka 10,akawa na rekodi ya pekee Duniani,kama Rais aliyesafiri na kutia saini mikataba Duniani kuliko Rais yeyote wa Afrika huko Awali.
View attachment 2407162
Tanzania tutachelewa kufika tuliponuia kufika Kutokana n ubepari wa...
Inasikitisha kufikiria raisi amesign mkataba zaidi ya 10 ndani ya cku moja tu! Hivii, mnadhani aliisoma yote kuzitathmini athari zake baadae??
Hii mikopo tunaishobokea tunaijua athari zake?? Kenya hadi leo sgr yao inaendeshwa na Chinese Kwa zaidi ya 85%, kweli huku ndipo viongozi wetu wanapodhamiria kutupeleka?
Raisi mteule wa Kenya, William Ruto amewaomba wakenya kuwa wavumilivu ndani ya kipindi chake. Amenuia kuijenga nchi bila ya kuitegemea mikopo, so amewapa wakenya tahadhari kuwa kuanzia sasa ni lazima alipe kodi. Ukipotezea hili, Kutokana na deni la Kenya kuwa kubwa sana, sasa kila mwananchi anayehangaikia kitambulisho(18+yrs), akipewa kitambulisho pia anapewa kra pin(hii ni no ya utambulisho Kwa mlipa kodi) Kwa hivyo kila aliyetimiza 18+ atakuwa na jukumu la kulipa kodi atake asitake. Hii ni hatua nzuri n itainufaisha sana Kenya.
Kwa upande mungine, wakati wenzetu wanapambana kuijenga miamba thabiti kuuinua uchumi wao, sisi tupo biiiize tulipiga hatua kurudi nyuma. Hii mikopo itaenda kumnufaisha nani kiuhalisia?? Serikali yetu yenyewe inaendeshwa kuibadhilifu!!
Kama waliopewa dhamana kuiendesha serikali wapo kimaslahi, mnadhani nchi inaelekea wapi? Kama kuzisimamia pesa zetu zinazotokana na ruzuku bado hatuwezi mnadhani hizo pesa za mzungu itakuwaje?? Kama wa China wametusamea sehemu ya deni letu (bilions) na wakatuhonga (billions) kisha kutukopesha (billions) ndio waingie mikataba na sisi, mnadhani baada ya huo ulaghai wa mabilioni, mnategea kuna madudu kiasi gani ambacho mimi n wewe tumefichwa?? Mnadhani Kati ya nchi zote duniani, mnategemea mchina anaweza kufanya biashara bila masilahi, yani kazi ya kanisa?? Personally ninaingiwa hadi woga nikifikiria wa China wanaenda kupata faida gani baada ya kutulubuni Kwa mabilioni??
.... licha ya kunywa maji ya bendera n kushiba imani, nilimuelewa sana Lowasa alipokuja n hoja kuwa kama akifanikiwa kuwa raisi, basi atadeal n vitu vitatu ambavyo ¹elimu, elimu n elimu. Kwann nilimuelewa? Sababu tz watu wengi tuna uelewa finyu sana. Kama elimu yetu itaboreshwa, basi tutajidhatiti dhidi ya vilaza kuliongoza taifa.
 
Tanzania tutachelewa kufika tuliponuia kufika Kutokana n ubepari wa...
Inasikitisha kufikiria raisi amesign mkataba zaidi ya 10 ndani ya cku moja tu! Hivii, mnadhani aliisoma yote kuzitathmini athari zake baadae??
Hii mikopo tunaishobokea tunaijua athari zake?? Kenya hadi leo sgr yao inaendeshwa na Chinese Kwa zaidi ya 85%, kweli huku ndipo viongozi wetu wanapodhamiria kutupeleka?
Raisi mteule wa Kenya, William Ruto amewaomba wakenya kuwa wavumilivu ndani ya kipindi chake. Amenuia kuijenga nchi bila ya kuitegemea mikopo, so amewapa wakenya tahadhari kuwa kuanzia sasa ni lazima alipe kodi. Ukipotezea hili, Kutokana na deni la Kenya kuwa kubwa sana, sasa kila mwananchi anayehangaikia kitambulisho(18+yrs), akipewa kitambulisho pia anapewa kra pin(hii ni no ya utambulisho Kwa mlipa kodi) Kwa hivyo kila aliyetimiza 18+ atakuwa na jukumu la kulipa kodi atake asitake. Hii ni hatua nzuri n itainufaisha sana Kenya.
Kwa upande mungine, wakati wenzetu wanapambana kuijenga miamba thabiti kuuinua uchumi wao, sisi tupo biiiize tulipiga hatua kurudi nyuma. Hii mikopo itaenda kumnufaisha nani kiuhalisia?? Serikali yetu yenyewe inaendeshwa kuibadhilifu!!
Kama waliopewa dhamana kuiendesha serikali wapo kimaslahi, mnadhani nchi inaelekea wapi? Kama kuzisimamia pesa zetu zinazotokana na ruzuku bado hatuwezi mnadhani hizo pesa za mzungu itakuwaje?? Kama wa China wametusamea sehemu ya deni letu (bilions) na wakatuhonga (billions) kisha kutukopesha (billions) ndio waingie mikataba na sisi, mnadhani baada ya huo ulaghai wa mabilioni, mnategea kuna madudu kiasi gani ambacho mimi n wewe tumefichwa?? Mnadhani Kati ya nchi zote duniani, mnategemea mchina anaweza kufanya biashara bila masilahi, yani kazi ya kanisa?? Personally ninaingiwa hadi woga nikifikiria wa China wanaenda kupata faida gani baada ya kutulubuni Kwa mabilioni??
.... licha ya kunywa maji ya bendera n kushiba imani, nilimuelewa sana Lowasa alipokuja n hoja kuwa kama akifanikiwa kuwa raisi, basi atadeal n vitu vitatu ambavyo ¹elimu, elimu n elimu. Kwann nilimuelewa? Sababu tz watu wengi tuna uelewa finyu sana. Kama elimu yetu itaboreshwa, basi tutajidhatiti dhidi ya vilaza kuliongoza taifa.
Nimesoma maandishi yako mara mbili,na katikati ya mistari nimegundua hasira na uchungu ulionao dhidi ya madudu yanayoendelea kuhusu Tanzania.

Naomba nikushauri kitu kimoja, adui kama humuwezi ukiwa ndani, toka nnje uungane na wale wanaompinga ili uongeze nguvu.

Wewe kuwa kwako mwana CCM kama hakuna uwezekano wa kuibadilisha CCM kutoka kuwa genge la mafisadi kwa mwamvuli wa chama cha siasa na kuwa chama cha siasa cha kutetea maslahi ya wakulima na wafanyakazi,basi ni unafiki mkubwa kuendelea kuwa na uchungu na yanayofanywa na hilo genge ilhali nawe unaendelea kuwa sehemu ya hilo genge la kifisadi.
 
Back
Top Bottom