Rais kutoa million 20 kwa wasindikizaji wa mgeni ni rushwa au ni malipo kwa kaz hiyo??

tikatika

JF-Expert Member
May 6, 2011
2,330
4,114
Baada ya pita pita huku na kule nimepata habari hii ya rais kuwazawadia wasindikizaji wa waziri mkuu wa ethiopia kwa kupewa sh million 20. je pesa hii ni hongo au ni ujira kwa wasindikizaji?? Kama ni ujira ina maana siku zote wasindikizaji hupewa pesa pesa na mimi kesho nikapange foleni niache kaz zangu. Kama sio ujira ni hongo ili na kesho waje wengi rais anatufundisha nini wananchi wake?? Je kila macho na masikio tuwe tunaulizia ratiba za wageni ili tukajipatie ujira?? Na kama siku hiyo ijayo hatawalipa wahudhuliaji wakidai pesa itakua kosa??

Pia kitendo cha kumpa mkuu wa mkoa ina maana wageni sahiz wanapitia kwa mkuu wa mkoa?? Je waziri wa mambo ya ndani ana nafasi gani hapo?? Au ndio kumpa kiki bashite aonekane anakubalika kwa kugawa pesa zilizo toka kwa rais?? Kwa sasa mkuu wa mkoa ndio mkono wa kuume wa rais wetu??

Watanzania wenzangu kwa sasa ni mwendo wa kuvizia wageni tukagawane hela za taifa kama njugu!!
 
Baada ya pita pita huku na kule nimepata habari hii ya rais kuwazawadia wasindikizaji wa waziri mkuu wa ethiopia kwa kupewa sh million 20. je pesa hii ni hongo au ni ujira kwa wasindikizaji?? Kama ni ujira ina maana siku zote wasindikizaji hupewa pesa pesa na mimi kesho nikapange foleni niache kaz zangu. Kama sio ujira ni hongo ili na kesho waje wengi rais anatufundisha nini wananchi wake?? Je kila macho na masikio tuwe tunaulizia ratiba za wageni ili tukajipatie ujira?? Na kama siku hiyo ijayo hatawalipa wahudhuliaji wakidai pesa itakua kosa??

Pia kitendo cha kumpa mkuu wa mkoa ina maana wageni sahiz wanapitia kwa mkuu wa mkoa?? Je waziri wa mambo ya ndani ana nafasi gani hapo?? Au ndio kumpa kiki bashite aonekane anakubalika kwa kugawa pesa zilizo toka kwa rais?? Kwa sasa mkuu wa mkoa ndio mkono wa kuume wa rais wetu??

Watanzania wenzangu kwa sasa ni mwendo wa kuvizia wageni tukagawane hela za taifa kama njugu!!
We mke wa bashite acha kulia lia
 
Fungu la mapokezi lipo..siku zote ndio maana mnaona wamama wanavaaa...vitenge na wababa kaunda na fulana ...mpya kila mgeni akija
Kwa kifupi kapunguza tu lile fungu la mapokezi hamna jipya
Miaka yote pia watumishi wa.umma wanaopewa sare kwenye mapikezi na makada wa chama pia na...nauli hupewa
 
Dalili za kuchanganyikiwa hizo!!! Atawadanganya na kuwashawishi wajinga wenye akili walishamdharau!!!! Kiki kwa sasa hamna hadi unafanya mambo ya ovyo kutafuta Kiki!!! Tuliwaeleza watu hapa tukiri hatukufanya chaguo sahihi wengine akili zimeshawarudi wengine bado ila hadi mwaka wa Tatu unafika wote zitakuwa zimewakaa sawa so mwaka wa mwisho watakuwa wameshafanya maamuzi!!!!
 
Wananchi wanavyokimbizana na mgambo wa jiji ili walipe kodi,halafu inagawiwa kirahisi.

Watu wanavyokesha na TRA na EFD machine kumbe kinachopatikana kinakuwa sandakalawe.
 
Wananchi wanavyokimbizana na mgambo wa jiji ili walipe kodi,halafu inagawiwa kirahisi.

Watu wanavyokesha na TRA na EFD machine kumbe kinachopatikana kinakuwa sandakalawe.
Nimeumia sana mi ni mtumishi wa umma nakatwa kodi kila mwezi laki mbili kasoro, napga kazi hakuna nyongeza wala promotion lakini hela wanapewa wasiopenda kazi eti kwakumfurahisha mke wa pogba(dbashite).
 
Back
Top Bottom