Marekeni anaenda kufanya nini wakati Waziri wake wa Mambo ya Nje yupo huko!!?
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Waziri Benard Membe, katika picha ya pamoja na Rais Obama na Mama Michele Obama wakati wa hafla ya Viongozi wa Nchi Wanachama za Umoja wa Mataifa iliyoandaliwa na Mhe. Rais Barack Obama jijini New York. Mhe. Waziri Membe yuko New York akiongoza ujumbe wa Tanzania akimuwakilisha Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Marekeni anaenda kufanya nini wakati Waziri wake wa Mambo ya Nje yupo huko!!?
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Waziri Benard Membe, katika picha ya pamoja na Rais Obama na Mama Michele Obama wakati wa hafla ya Viongozi wa Nchi Wanachama za Umoja wa Mataifa iliyoandaliwa na Mhe. Rais Barack Obama jijini New York. Mhe. Waziri Membe yuko New York akiongoza ujumbe wa Tanzania akimuwakilisha Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
Hii kitu hii kwani hakuna kiswahili chake
hakuna kiswahili cha email au fax au website au hiyo Directorate
Mkuu wacha nijaribu ingawa kiswahili nilikiacha kidato cha nne...
Directorate =Kurugenzi
email = Barua pepe
fax = Nukushi
Inasikitisha!
Mr Rocky nipo pilika tu za mjini. Ni kweli kuna kasumba ya kuchanganya lugha wakati yapo maneno yanayojitosheleza na yanaeleweka kabisa.. Huwa najiuliza kama kuna wengine wanaofanya kama sisi tena kwenye mawasiliano rasmi ya kiofisi na ofisi kuu ya nchi!!
Ahsante kwa taarifa mkuu,
Mkuu anakwenda mara kwa mara, ingawa kuna wawakilishi .. leo hii amekwenda wiki ijayo amerudi, wiki itayofuata ataondoka and the week after anarudi, na ile wiki(mwezi sasa) atarudi KULE KULE...sasa hivii ni kwa nini Rais wetu asikae huko huko hadi amalize "mikutano/ziara n.k" YOTE ndio arudi?
My god, Hivi Tanzania tutakuja kweli kupata Raisi mwingine wa aina hii, Ina sikitisha sana, na kuna kitu gani huko Marekani? Kwa nini sio Nchi kama
1. INDIA, INDONESIA, MALAYASIA, NA KAZALIKA? Make hizi nchi ndo kidogo zinaweza kutufaa,
Mr Rocky nipo pilika tu za mjini. Ni kweli kuna kasumba ya kuchanganya lugha wakati yapo maneno yanayojitosheleza na yanaeleweka kabisa.. Huwa najiuliza kama kuna wengine wanaofanya kama sisi tena kwenye mawasiliano rasmi ya kiofisi na ofisi kuu ya nchi!!