Rais Kikwete ziarani Marekani na Canada - Oktoba 01, 2012

Inaoneka kama kuna NGO's zimemfanya JK kama kuwadi wao ili zipate misaada za hawa ma-philanthropist. Maana ukipata rais dhaifu unaweza kumtumia kupata mabilioni ya dola toka kwao maana kila siku atakuwa anakwenda kuwanyenyekea hawa kina Bloomberg ama akijua au kwa kutokujua kuwa anatumika. Pole sana JK
 
Ahsante kwa
taarifa mkuu,

Mkuu anakwenda mara kwa mara, ingawa kuna wawakilishi .. leo hii
amekwenda wiki ijayo amerudi, wiki itayofuata ataondoka and the week
after anarudi, na ile wiki(mwezi sasa) atarudi KULE KULE...sasa hivii ni
kwa nini Rais wetu asikae huko huko hadi amalize "mikutano/ziara n.k"
YOTE ndio arudi?

Jamani,we mbona hivyo! aidha una bifu na prezidaa au mgumu kuelewa! c umeainishiwa madhumuni,malengo na umuhimu wa safari hiyo? sasa iweje unadai bora akae hukohuki?
 
Jamani,we mbona hivyo! aidha una bifu na prezidaa au mgumu kuelewa! c umeainishiwa madhumuni,malengo na umuhimu wa safari hiyo? sasa iweje unadai bora akae hukohuki?

Haha..mkuu Ralphryder, sina "bifu na prezidaa" ..kulingana na maelezo yako unamalizia kwa kusema "umuhimu" wa safari hiyo..So unamaanisha kuna safari ambazo huwa anakwenda na hazina umuhimu, siyo?

-Main theme, niliyoiongelea ni kuwepo na safari za mara kwa mara, sehemu zile zile( and it was in a sarcastic tone) mkuu.
 
Kwenye sherehe hiyo iliyopangwa kufanyika kwenye ukumbi uitwao Green Room kwenye makao makuu wa Umoja wa Mataifa, Rais Kikwete, Mheshimiwa Ban Ki Moon, Meya Bloomberg na mama Helen Agerup kwa pamoja watazindua Matokeo ya Mpango huu uitwao Innovative Maternal Health Program.

Hapo kwenye Red utekelezaji wake ndo ulikuwa huu?
QQ.jpg Taasisi hiyo hufanya kazi ya kuendeleza maeneo matano duniani ambayo ni Usanii, Elimu, Mazingira, Ubunifu katika Serikali na Afya ya Umma.
Hapo Kwenye Red panamahanisha kila kitu
 
Inaoneka kama kuna NGO's zimemfanya JK kama kuwadi wao ili zipate misaada za hawa ma-philanthropist. Maana ukipata rais dhaifu unaweza kumtumia kupata mabilioni ya dola toka kwao maana kila siku atakuwa anakwenda kuwanyenyekea hawa kina Bloomberg ama akijua au kwa kutokujua kuwa anatumika. Pole sana JK
Si unaona Juzi alikwenda kwenye Family Planning Summit??.......Bill and Melinda Gates...wanamfanya anakimbia kimbia magogoni!!
 
Hiyo KURUGENZI imekosa kazi hii si taarifa ni utaratibu uliozoeleka kwa huyo bwana kuongoza nchi kwa safari za nje kutoa taarifa ni sawa MUME kuutangazia UMA anataka kuzaa ma MKEWE.

.
Imewalaziku kurugenzi ya habari ikulu kufanyi hii kuwa taarifa baada ya kuona aibu jinsi rais anavyokata mitaa. Hivyo wameelezea kwa kirefu angalau kupunguza minong'no ya kuwa rais wetu ni wa mambo ya nje. Hivi kweli meya wetu wa jiji la Dar es sallam na Ananelia Nkya labda kwa mfano: tuseme wanaweza kumwalika hata kama ni rais wa nchi kama malawi na ziara hiyo ikaitwa ya kiserikali? Kisa atakapokuwa ziarani atasalimiana na Migiro alie naibu katibu mkuu umoja wa mataifa?
Kwa kweli kama ni rais tunae.
.
 
Namuombea kwa Mwenyezi Mungu apate terrible accident na afe hapo hapo. Ni janga la taifa huyu JKilaza!
 
wengine wanaandamana kuchoma balozi za marekani wengine wanaelekea uko kuomba misaada ya kuwalisha waandamaji.....hakika maskini wa akili ni hatari kuliko wa njaaaaaaa
 
Mbona hakuna bendera ya Tanzania hapo! Picha imechakachuliwa!

mkuu kimbunga, bendera ya tz haiwezi kuwekwa hapo sbb membe ni waziri lkn angekuwa ni rais vasco da gama ktk picha hiyo bila shaka ungeiona bendera yetu ya tz.
 
Kwa wale wanaojua tafadhali hii ni ziara ya ngapi wadau tangu jamaa aingie madarakani 2005?
Halafu naomba tupate na zile estimated/exact figures (if any) za hizi safari za huyu jamaa za nje ili tujue kama ni shule zingeimarika kiasi gani mikoani na kama ni visima vya maji vingechimbwa vingapi hata kama hataki vichimbwe mikoa mingine Tanzania tufanye Bagamoyo tu pale angechimba visima vingapi.
Tafadhali msaada jamani. naona hela zazidi kuibiwa
 
Mkuu nimejaribu kupepesa macho kuhusu hayo maelezo ya barua toka kurugenzi ya mawasiliano ikulu.Mama Helen Agerup unakutana na Obituary: Helen Agerup May 31, 1921-Nov. 16, 2011
0001762852-01-1_20120104.jpg

[h=2]Innovations for Maternal, Newborn & Child Health mradi huu ulianza 2009 na unatekelezwa katika nchi mbili za africa siera leone na Malawi sasa Tanzania ndo tumeenda kuomba na sisi tujumuishwe au tunaendea kuwashudia Wenzetu wa Malawi walivyo tekeleza.?[/h]Hakuna taasisi inayoitwa H&B!haina jina kwa kirefu?

Mytake: Hii safari imekaa kisaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Chunguza utabaini!
 
Marekeni anaenda kufanya nini wakati Waziri wake wa Mambo ya Nje yupo huko!!?

photo.JPG

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Waziri Benard Membe, katika picha ya pamoja na Rais Obama na Mama Michele Obama wakati wa hafla ya Viongozi wa Nchi Wanachama za Umoja wa Mataifa iliyoandaliwa na Mhe. Rais Barack Obama jijini New York. Mhe. Waziri Membe yuko New York akiongoza ujumbe wa Tanzania akimuwakilisha Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

KWanini anakwenda wakati ameshamtuma Membe aende kumuwakilisha kulikuwa na haja gani ya yeye kuwepo pia.
 
Back
Top Bottom