Rais Kikwete ziarani Marekani na Canada - Oktoba 01, 2012

yote nimeshazoea ila wadau wanaojua naomba mnieleweshe ikulu wanatumia email hii?? E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com wanazidiwa hata na taasisi za elimu na vyuo?? hii imekaaje yaani hata vikampuni vidogo kabisa vina server yao au hiyo email sio exist??
 
Baada ya mazungumzo hayo, Rais Kikwete ataungana na Mheshimiwa Ban Ki Moon, Meya wa Jiji la New York na Mfadhili Mkubwa wa Misaada ya Kibinadamu Duniani, Mheshimiwa Michael Bloomberg; Mama Helen Agerup ambaye ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Misaada ya Kibinadamu ya H&B Agerup na Dkt. Kelly J. Henning, Mkurugenzi wa Mipango ya Sekta ya Afya ya Taasisi ya Bloomberg Philanthropies kwenye Uzinduzi wa Matokeo ya Mpango ya Ubunifu wa Afya ya Akinamama katika Tanzania
Hapa ndipo tutakapo umizwa zaidi..navyojua mimi huyu jamaa husaidia wenye Mashirika yasiyokuwa na mahusiano na serikali (Non -Government Organisation) sasa inakuwaje mradi huu unapitia na kusimamiwa na rais mwenyewe..
 
Ujumbe wake yumo pia mkewe?[/QUOTE]

Ingekuwa ziara ya SIMIYU au KATAVI nafuu ungeweza kuuliza kama MKEWE ni sehemu ya ujumbe! Kwa hizi za NG'AMBO ni kama MASAAI kuacha SHUKA YAKE; HAIWEZEKANI KABISA!!!!! Madam yuko pembeni lazima...Kwani unadhani yeye haja-miss safari za abroad kwa kipindi hiki Mkuu aliamua kuwepo NCHINI KWA MUDA???
 
mkuu kimbunga, bendera ya tz haiwezi kuwekwa hapo sbb membe ni waziri lkn angekuwa ni rais vasco da gama ktk picha hiyo bila shaka ungeiona bendera yetu ya tz.

Mkuu nilikuwa natoa changamoto! Ila kumbuka huyu ni Rais in the making au hulijui hilo?
 
Mi naona safari zina zinamcost huyu jamaa.
kama vipi abake hukohuko aiseeee....!
 
Marekeni anaenda kufanya nini wakati Waziri wake wa Mambo ya Nje yupo huko!!?

photo.JPG

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Waziri Benard Membe, katika picha ya pamoja na Rais Obama na Mama Michele Obama wakati wa hafla ya Viongozi wa Nchi Wanachama za Umoja wa Mataifa iliyoandaliwa na Mhe. Rais Barack Obama jijini New York. Mhe. Waziri Membe yuko New York akiongoza ujumbe wa Tanzania akimuwakilisha Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Ufupi wa membe umeharibu pozi looote la picha, tuombe mungu mawazo yake pia yasiwe mafupi
 
Hapa ndipo tutakapo umizwa zaidi..navyojua mimi huyu jamaa husaidia wenye Mashirika yasiyokuwa na mahusiano na serikali (Non -Government Organisation) sasa inakuwaje mradi huu unapitia na kusimamiwa na rais mwenyewe..
Lakini pia ni investor mkubwa sana,kuna pahala wameuza nchi mkuu,subiri tu utakuja nambia.
 
Kama kawaida Vasco da gama we enzi hizi anajianda kwenda Marekani na Canada. Kama kawaida nchi inajiandaa kupoteza fedha kwa safari zisizo na tija. Mimi nafikiri itafika sehemu marais wa huko aendako wataanza kumkimbia kwa kuwapotezea muda wao wa kuchapa kazi.

Itakuwa ziara ya ngapi wadau?
 
Kama kawaida Vasco da gama we enzi hizi anajianda kwenda Marekani na Canada. Kama kawaida nchi inajiandaa kupoteza fedha kwa safari zisizo na tija. Mimi nafikiri itafika sehemu marais wa huko aendako wataanza kumkimbia kwa kuwapotezea muda wao wa kuchapa kazi.

Itakuwa ziara ya ngapi wadau?
Hizo siyo safari zisizo na tija,wanauza nchi on top of that.Ni safari za madili.Nani kakwambia there's such a thing as a free lunch kwenye dunia ya ubepari?
 
Ilitakiwa awe ameenda tokea last week...UN sasa akaona hiyo haina deal asubiri ile ya bakuli ndio akomae nayo!!!!atarudi na pampas this time,maana nyavu za mbu tunazo sasa tele za kuvulia dagaa!!
 
Nilitaka kushangaa imekuwaje kuwaje mkuu amekosaje nafasi ya kwenda picnic ya watawala wa dunia (baraza la umoja wa mataifa)? Hatimaye ameweza kwenda kivingine!
Nimeipenda Paragrafu ya Nne, "Tanzania bila wafadhili haiwezekani", mbona maelezo mengi ni ya ziara ya Marekani, na Kanada inaonekana hakuna kitu au Mkulu amezamia tu huko kupunga upepo!

Bado najiuliza ni kitu gani kilimzuia mkuu kwenda kwenye kikao cha baraza la UN?
 
Jamani huyu jamaa ni utaratibu wake kulihutubia taifa kila mwezi ao anafanya anvyopenda yeye
tulitaka kusikia kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya inaendeleaje.
 
Jana mbona alihutubia? Wewe ulikuwa wapi kama ulitaka kumsikiliza?
 
Haogopi aibu,? Hana cha kuongea ndo ameenda kukitafuta huko
 
Jamani huyu jamaa ni utaratibu wake kulihutubia taifa kila mwezi ao anafanya anvyopenda yeye
tulitaka kusikia kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya inaendeleaje.

mwache aende tu .tunaweza pata msaada wa vyandarua..kwani hizo hotuba zinatusaidia nini??
 
Jamani huyu jamaa ni utaratibu wake kulihutubia taifa kila mwezi ao anafanya anvyopenda yeye
tulitaka kusikia kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya inaendeleaje.

tafuta humu humu ndani kuna hotuba yake ya jana,tena kuna wadau walikua wanaripoti live.!
 
Hizi bembea za majuu zinawasha. Akizikumbuka hawezi kulala ndani. Mwache akabembee tu kwani 2015 inakuja. Anajua hakutakuwa na bembea, mananasi, wala mihogo ya kwenda kushangaa kwa majirani baada ya hapo!
 
Back
Top Bottom