Rais Kikwete ziarani Australia

Rais Kikwete ziarani Australia

Manyerere Jackton

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
2,438
Reaction score
4,461
Baada ya juzi tu kutoka Uswisi, Mheshimiwa Rais Jakaya, Jumamosi wiki hii anaanza ziara ya kuaga nchini Australia.

Chanzo: Ndani ya Ikulu
 
Aisee kuna uteuzi fulani wa makatibu Tawala wawili wa Mikoa,haujakamilka sababu hajawaapisha!
Hauna fununu za hiyo kitu mkuu?
 
utafikiri hzo nchi ndo walimchagua, ngoja ale goodtime, amalizie ile bajet ya ziara nchi za nje!
 
mi nilidhani kuna mikataba ya kumalizia hapo kwa jirani na rais wa dunia!
 
Baada ya juzi tu kutoka Uswisi, Mheshimiwa Rais Jakaya, Jumamosi wiki hii anaanza ziara ya kuaga nchini Australia.

Chanzo: Ndani ya Ikulu
wewe ni kajanja kazini.
tatizo lako unaleta taarika kiushabiki kuliko uhalisia kama ulivyoleta ile ya uswisi.
 
Ubinafsi ni dhambi inayowatesa sana viongozi wetu afrika.
 
Matumizi mabaya ya pesa ,atuonee huruma watanzania hizo pesa zingeweza kununulia dawa zikapelekwa kwenye zahanati zetu
 
Kwenye lile sakata la kampuni yenye asilimia hamsini ya eskroo mali ya familia ya mfalme tulionyeshwa kwenye google kuwa ipo huko
 
Back
Top Bottom