VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,909
- 580
Salamu wandugu
Kwanza naomba nianze kwa kuweka kumbukumbu sahihi, Mimi ni Mtanganyika mwenye HESHIMA na Utanzania.
Lakini pia nimechoka na huu uzekezaji unaofanywa zidi wa wazanzibar
Siku ya UHURU wa TANGANYIKA Raisi Kikwete alitoa NISHANI mbalimbali hapa kuna matatizo (uchakachuaji wa aina mbili)
1. Uhuru ni Tanganyika lakini nishani zilitoka za Tanzania, sasa nashindwa ilikuwa ni siku ya UHURU wa Tanzania? na kama ndivyo na siku ya MUUNGANO tutatoa nishani zipi? nishani za Tanzania siku ya Tanganyika ni kuwatisha wazanzibar kwamba Tanganyika ndio Tanzania, hii sio sahihi ni uchakachuaji.
2. Bi Kidude kwenye nishani za TANGANYIKA anahusika vipi? ni nani asiyejua kwamba Bi Kidude ni Zanzibar?!!! tunawaogopa nini hawa wazanzibar mpaka siku ya UHURU wetu wa TANGANYIKA tujikombe na kuwanishani? vitu kama hivi ni uchakachuaji, lakini pia vinawapa kiburi wazanzibar, matokeo yake wanajisahahu kama walivyo sasa.
Mwisho ni kwa Watanganyika, tuwe macho, mambo kama haya yakitokeo VISIWANI wangepiga kelele na kusema wamedharauliwa, kwa upande wangu hii sio dharau lakini kama tunajikomba sana kwa wazanzibar mpaka kuwapa NISHANI za watanganyika
Kwanza naomba nianze kwa kuweka kumbukumbu sahihi, Mimi ni Mtanganyika mwenye HESHIMA na Utanzania.
Lakini pia nimechoka na huu uzekezaji unaofanywa zidi wa wazanzibar
Siku ya UHURU wa TANGANYIKA Raisi Kikwete alitoa NISHANI mbalimbali hapa kuna matatizo (uchakachuaji wa aina mbili)
1. Uhuru ni Tanganyika lakini nishani zilitoka za Tanzania, sasa nashindwa ilikuwa ni siku ya UHURU wa Tanzania? na kama ndivyo na siku ya MUUNGANO tutatoa nishani zipi? nishani za Tanzania siku ya Tanganyika ni kuwatisha wazanzibar kwamba Tanganyika ndio Tanzania, hii sio sahihi ni uchakachuaji.
2. Bi Kidude kwenye nishani za TANGANYIKA anahusika vipi? ni nani asiyejua kwamba Bi Kidude ni Zanzibar?!!! tunawaogopa nini hawa wazanzibar mpaka siku ya UHURU wetu wa TANGANYIKA tujikombe na kuwanishani? vitu kama hivi ni uchakachuaji, lakini pia vinawapa kiburi wazanzibar, matokeo yake wanajisahahu kama walivyo sasa.
Mwisho ni kwa Watanganyika, tuwe macho, mambo kama haya yakitokeo VISIWANI wangepiga kelele na kusema wamedharauliwa, kwa upande wangu hii sio dharau lakini kama tunajikomba sana kwa wazanzibar mpaka kuwapa NISHANI za watanganyika
UPADATE
Nimebadilisha kichwa cha habari kidogo ili kuongeza maana