Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
Cheki na mbunge wako au the minister for information. lol.
Hivi Tanzania nako kuna Waziri wa Habari?!
Haya ninafuata ushauri wa Zakumi naishi kama Mtanzania; "hewallah Bwana" kwa lolote linalofanywa na serikali bila ya kushirikisha ubongo
Last edited by a moderator: