Siku nyingine Chadema ikiwa inawakaribisha Makada wa Ccm iwasaidie kuandaa Hotuba za kuhama Chama. Ukisikiliza Hotuba za Sumaye na Makongoro Mahanga za kuhama Ccm unaweza kudhani ni Maigizo ya Wanasesere kumbe ni Wanasiasa wakubwa tu! Makongoro kahama kwa kuwa hakupanda kuwa Waziri Kamili nae Sumaye eti kuja Kuimarisha Ccm, anasema Anajua Pombe ni Kiongozi mzuri, Mchukia Ufisadi na hajatoa Rushwa ila anahama kwenda kuimarisha Upinzani!