CONSTRUCTIVE THOUGHT
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,158
- 417
Jana katika uzinduzi wa kampeni za Urais Jangwani, Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete alisema hakumuelewa Sumaye aliyesema kahamia UKAWA kwa lengo la kuimalisha CCM.
Katika hili hata mimi sikumuelewa Sumaye zaidi ya yote aliposema kina Mbatia hawana uwezo wa kuunda na kuongoza Serikaali.
Katika hili hata mimi sikumuelewa Sumaye zaidi ya yote aliposema kina Mbatia hawana uwezo wa kuunda na kuongoza Serikaali.