Rais Kikwete safarini UK na China

Rais Kikwete safarini UK na China

Anaenda kumalizia kufunga kabisa mikataba na kuhakikisha hata anaekuja hawezi fanya mabadiliko yeyote kwenye kula yake na familia.
Hajambeba Diamond?
 
Yote hayo afanyayo yanamwisho wake hakuna lisilo na mwisho
 
Mbowe katangaza maandamano yasikuwa na kikomo nchi nzima, halafu yeye kaenda Afrika Kusini, ataonganisha mpaka Oman na Lukuvi, misukule mtabaki muandamane akirudi anataka akute maiti za waandamanaji ziwe mtaji wa siasa kwenye uchaguzi ujao.
 
Afisa ununuzi anaenda kukagua helkopta
 
hoja yako ipo wapi? Mnahangaika sana bandugu

nambie mgambo wangu! hivii!! hii inakuwa safari ya ngapi vileeee?? hebu nikumbushe maana nakumbuka mpaka mwezi uliopita iliishia safari ya 398 nnje ya nchi
 
mwaka mmoja na siku kiduuuchu..:A S-eek:
 
Sijui hasa faida za safari za huyu Dingi,maana hawa wawekezaji uchwara hawa ni shidaaa......utashangaa nchi inaendelea kubaki nyuma,bali wote wanaokuja hapa wanapewa uraia...na TZ sasa ndio inaongoza kwa kutoa uraia kwa watu kibao wa burundi,somali,najiuliza nchi gani ambayo watz kama hao wamepewa uraia?au sisi ni kutoa tu...
 
ndiyo maana aliogopa mdahalo kipindi cha uchaguzi maana alijua tutamjua mapema kuwa haamini kuwa nchi inaweza kuendelea bila msaada.
 
Hata hivyo hatushangai kwa vile kazoea kuishi kama popo
 
Back
Top Bottom