Yangu macho, soon atavunja record
Ndo tujifunze sasa, mambo ya kuchagua Rais eti kisa ana sura ya kike au eti ni kijana mwenzetu hapana tena!!!
Sina hakika akishatoka UK anaunganisha China au anarudi kisha china
Nimeona kwenye Africa news 24
Naona hizi ni farewell trip tena maana kabakisha miezi 12 tuu
Kweli wanahangaika tena si kidogo. Eti omba omba anapokaa pembeni mwa ATM nako ni ka-ubunifu
Hata hivyo hatushangai kwa vile kazoea kuishi kama popo