Amemweka Babu Seya na wanae nyuma ya pazia kwa miaka yao yote duniani so kawafanya wafunge ndoa na Gereza
Kuna watu wengine JF wanakuwaga ni pointless kabisa hebu tupe link ya Babu seya na JK. Babu seya amekuwa akiharibu watoto wa watu wewe unaliona hilo sawa??? na JK yuko kwake kule Ferry alitokaje kuja kuhukumu kesi ya babu seya. Jamani tuwe home of great thinkers and not otherwise.