Rais Kikwete: Nabii asiyekubalika nyumbani kwake?

Amemleta Drogba..
Amemleta Etoo...
Amemleta Bush...
Amemleta Maximo...
Ameleta kombe la dunia na tukapiga nalo picha..
Rais wa kwanza toka Africa kumtembelea Obama
Amewakaribisha wasanii wa bongo flava ikulu kupiga nao stori
Ameendesha mahojiano ya ana kwa ana live kupitia luninga....
Mhudhuriaji mzuri kwenye misiba,graduations na birthdays..(hata walalahoi tulipata nafasi ya kumshika mkono).
Kuna mwaka Miss Utalii ilitaka kushindikana kufanyika kwa kukosekana fedha ,akaiokoa na ikafanyika
Sasa watz wenzangu hapo nyumbani mngeyaona wapi yote hayo ???asili ya binadamu ..akiondoka ndiyo mtamkumbuka kwa 'mema'...

Hii uliisahau pia;
1.Raisi wa kwanza TZ kutembelea sokoni Tandale na kushikashika maharage pale sokoni.
2.Raisi wa kwanza TZ kuingia gerezani na kuongea na wafungwa.
3.Raisi wa kwanza Duniani kutuambia tushangilie timu yetu ya taifa kwa kufungwa 5-1 na Misri eti kwa kuwa ndiyo tunaanza soka!
4.Raisi wa kwanza Duniani kusema hajui ni sababu zipi zinaifanya nchi yake isiendelee lakini bado anataka kuendelea kuwa raisi!!
 
Amevunja records kwa kuwa kiongozi wa kiafrica muungwana,mwanademokrasia,anayeheshimu utawala wa sheria,kipenzi cha watu na mwenye uzalendo wa kweli...
Tatizo ni kwamba, anatawala moja ya nchi za kiafrika(tanzania).Waafrika hatujazoea utawala wa aina hii.tumezoea kupelekwa kidikteta.na ukiwa raisi wa aina hii utaitwa DHAIFU,na usiyeweza kutoa maamuzi magumu.
Mkapa benjamin alikuwa akisema neno hata kama ni tusi kwa waandishi wa habari,watu wote walikuwa wanafyata mkia...
that's a kind of president we deserve bcause we are naturally oppressed society
on top of that, anatembelea hospitali, anahudhuria misiba, anakumbatiana na kina bi kidude, anabembea akisafiri nje, amesafiri hadi marekani kuomba vyandarua, ameagiza flying over dsm wakati anajua ni jambo lisilowezekana............ana mambo mengi sana mazuri
 
jmushi
Mimi naona the opposite is true kwamba mambo makubwa ambayo hayajafanyika ndiyo inatufanya tusione kama tume gain au tume lose sijaona jambo kubwa lolote la maendeleo limefanyika katika awamu hii kwa hiyo hatuwezi kupima kitu kama hatuna cha kupima

well wakati wa awamu ya pili liona mambo makubwa yalifanyika kama kuruhusu mfumo huria wa biashara kuruhusu mfumo wa vyama vingi hayo ndiyo tunaweza kusema ni mambo makubwa hata hivyo huwezi kuyapima kwa muda mfupi

naweza kusema katika awamu ya tatu pia kuna mambo makubwa talitokea mfano kukua kwa ukusanyaji wa kodi kuliosababisha kukua kwa pato la taifa vile vile kuingia mikataba mingi fake ambayo JK amekuja kuirithi

Jambo kubwa ambalo JK angeweka historia ni kuivunjilia mbali hiyo mikataba fake in contrary yeye ndiyo anaendelea kuikumbatia labda naweza kusema jambo kubwa ambalo JK amefanikiwa ni kutokuchukua maamuzi magumu yanayoweza kusambaratisha wanamtandao

Niliposema "Mambo makubwa" Nilimaanisha ufisadi mkubwa kwasababu ndio issue kubwa zilizochukua nfasi during his first tenure,na ndio maana nikatoa reference kwamba uki analyze utaweza kuona impact yake ni accross the board kwenye mfumo wa kijamii hence nothing to be proud of as a gain,unless ufisadi ni gaining.....Ni kama engine,ikichanganya maji na oil inakufa,there's nothing to gain from it unless we're talking about scrapes....Sambamba na ufisadi ambao umei paralyze social,political and economic system yetu accross the board,there's nuttin we can gain from dis ish,unless we're talking about poverty(scrapes)hopefully tuko pamoja.
 
Back
Top Bottom